Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Naaam naaam nipo hapa mkuu
Mmmh kweli je yupo tayari kula mikate na maji ya sukari ahhahahaMliwaze huyo mrembo cuterey amsahau alomuacha
Je utayaweza mapambano ukiacha mambo ya kupostiwa...Hapana
Ooooh huna experience za hivo vitu nini....Nina moyo mdogo π€
Love is mental illnessMambo zenu.
Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.
Naombeni Ushauri.
NAfanya ivyoUkiachwa na unaempenda usiachike unaachikaje kwa mfano? Akisema usintafute mtafute,akisema usiniongeleshe muongeleshe.
ILa fanya hayo kama unahisi ana vi upendo ndani yako hata kwa mbali yawezekana umepooza sana jaribu kum activate.
Kero wakati mwingine wanaume tunazitafsiri kama upendo so mkereee
Heee bado unamng'ang'ania huyo mtu basi sawa bhnππSiwezi nampenda sana idrisa siwez muacha
Fundi usiniangushe mliwaze huyo mtotoOoooh huna experience za hivo vitu nini....
Kama umefikisika hisia uje apa nikuazime
πππππ€£π€£π€£ππ mindset yake tu imekubali kuwa dhaifu kwa kitu ambacho hakina msingiUnampenda sana kwa ajili ya nini?
Usijali Fundi manyumba ana Vingi zaidiiiii ya idrisa we nae vp bhnKuna vitu navipenda sana toka kwake...
Move on and stay strong.Mambo zenu.
Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.
Naombeni Ushauri.
Usijali Fundi manyumba ana Vingi zaidiiiii ya idrisa we nae vp bhn