Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

NAfanya ivyo
 
Mambo zenu.

Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.

Naombeni Ushauri.
Move on and stay strong.

Jipende wewe kwanza
Tunza Afya yako,Kula vizuri jipe furaha
Jiangalie sana kwa kiooo,sanaa kisha jisemeshe ukiwa mbele ya kioo.
Hii ni tiba nzuri kuliko zote ntakuja kuwaeleza namna ya uifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…