Anyway binafsi nikiwa stressed huwa nakimbilia jf humu kutokana na vituko vya watu basi najikuta naenjoy so uwe mtumiaj mzur wa hili jukwaa afu usipende kutumiaau muda mwingi pekeakoAhahah hapana
Naomba nilale best asante kwa ushauri nimechoka ivyooAnyway binafsi nikiwa stressed huwa nakimbilia jf humu kutokana na vituko vya watu basi najikuta naenjoy so uwe mtumiaj mzur wa hili jukwaa afu usipende kutumiaau muda mwingi pekeako
Usiku mwema jiranNaomba nilale best asante kwa ushauri nimechoka ivyoo
Tafuta mbadala wake chaapMambo zenu.
Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.
Naombeni Ushauri.
Itakua hela tu..hakuna kingineUnampenda sana kwa ajili ya nini?
Ni ngumu sana kukubali ila itapita tu. Ni suala la mudaMambo zenu.
Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.
Naombeni Ushauri.
Tupo wengi wenye hela, aje tu.Itakua hela tu..hakuna kingine
Sijawahi kuelewa inakuwaje mtu anampenda sana mtu mwingine, huwa ni kitu gani labda?πππππ€£π€£π€£ππ mindset yake tu imekubali kuwa dhaifu kwa kitu ambacho hakina msingi
Yeah with time atakaa sawa na ku move on
Mwamba huyu hapaaaaπYani ukimpa mambo we ndo fala, jifanye unateseka na kuachwa kwake hujapata mbadala akijaa kwenye mfumo mmalize utamsoma kitu gani kinampa maumivu kwenye mapenzi tumia hicho kumpigia halafu mute km sio wewe usimblock ila mpuuze kona zote, kama ni lazima kukutana unamwenya/tabasamu la kulazimisha tu halafu endelea na hamsini zako,,, lazima akuite mama
Upo sahihi kuto accept kwasababu unampenda. Huo ndio ushauri wangu namba 1Mambo zenu.
Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.
Naombeni Ushauri.
Ulizaliwa pacha nae??Mambo zenu.
Guys nimeachwa na mtu ambaye nampenda sana nashindwa kuaccept situation.
Naombeni Ushauri.