Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

Mi naona ni jambo jema.
Rudi kwenye soko angaza mali mpya.

Bora mmemaliza hili mapema nisingeelewa mtu, mtuchangishe michango baada ya mwaka na robo, ndoa chali muanze visa, heshimuni sana michango yetu hata kama mnatupa kuku na bia.
Umenena vema mkuu. Ingawa umesimanga kwa sehemu [emoji28]...
 
mzee piga moyo konde amini kwangu utampata aliebora zaid ya huyo.

Kweli mapenzi yanauma ila usifadhaike zaidi ukaunyima moyo wako furaha kisa huyo mwanamke,kwanza shukuru san ulikuwa unaoa mwanamke asiekuwa na misimamo huyo inadhihirisha anaeza hata kuliwa na Ex wake...nimalizie neno TAFUTA PISI KALI ZAID YA HUYO WANAWAKE BILA KUWA NA AKILI YA ZIADA WATAKUCHEZEA AKILI
 
Sio vigari vya chini kama crown, naendesha Discovery 4 Hybrid, la juujuu.

Nikipanda au kushuka siwi nimechuchumaa, nasimama.
aise me hata hilo gari lenyewe silijui,hongera mkuu. ILA mapenzi ni kitu kingne kabisa, kuna funzo kwene shuhuda yako hii
 
hapo no3 imekaa vyema zaid yan bora mwanamke alilie ndoa kuliko mwanaume ndio uforce ndoa oyaaa utakuja kuchapwa matukio mpk uwe chizi
 
Aisee,, ushauri mzuri
 
Hahaa sawa mkuu nimekuelewa sana.

This time around hakuna mzaha tena aisee.
 
Good! Mungu akusaidie ufute kila memory yake ndio utamsahau na kumove on!

Au waza mabaya yake kwasana ( Kama yapo) itasaidia kukuketea relief ya maumivu!
Nimependa hapo kwenye kuwaza mabaya yake, na alikuwa nayo kama mimi nilivyokuwa nayo. Sema nilichagua kumvumilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…