Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

NAKAZIA
 
Inauma sana.
Mzee usiweke mtu Moyoni mwako
Kuwa na Furaha iliyokamili n kuwa na Furaha ndani yako na usiyoiweka kwenye vitu au mtu ( Isitegemee popote )
Mapenzi yataka singo wawili ( Watu waliokamilika Bila kutegemeana )
Ishini na mtu ukijua ataondoka muda wowote ishi km mgeni

Kuwa singo sio mbaya, mbaya kuwa mkiwa
 
Ahaaa.. nazeeka vibaya auntie Ako rafiki akili ishakua nzitroo sikuhizi🀠!
Jr ako vyedi sana anakusamilia!
Mbona bado sana.. Auntie wa mie bado upo vyedi mnoo natural anπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Nime zoom zile B\W ✍️πŸ₯³πŸ₯³πŸ₯³πŸ€©
 
Mbona bado sana.. Auntie wa mie bado upo vyedi mnoo natural anπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Nime zoom zile B\W ✍️πŸ₯³πŸ₯³πŸ₯³πŸ€©
🀠🀠! Nimetoka kuview file nikawakumbukajeeeee na drama zetu kule 😊!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…