Basi utuambie wapi unahisi Kuna tatizo au chanzo nini mpaka ageuke ghaflaNa ndo huyu aliyenifanyia ushenzi wote huu...
Kuna sehemu hatukuelewana....Sijaelewa hio Op... !
Auntie ako kilazaa ujue!
Yaani unamaanisha Shangazi kubwa lao[/QUOTE]Kabisaa...shangazi la shangazi
Ndio mumwambie haka ni katabia kenu ka kutafuta attention πHalafu Amicuss kaachwa Leo tu ndio kaamini hajui drama za kina dada?huyu hata hajamuacha na yeye anasikilizia simu huko
Uzaifu wa kupiga Puli?
πSiku moja tu una lia adi kamasi ila sio case soon utakua legend .
NAKAZIAmzee piga moyo konde amini kwangu utampata aliebora zaid ya huyo.
Kweli mapenzi yanauma ila usifadhaike zaidi ukaunyima moyo wako furaha kisa huyo mwanamke,kwanza shukuru san ulikuwa unaoa mwanamke asiekuwa na misimamo huyo inadhihirisha anaeza hata kuliwa na Ex wake...nimalizie neno TAFUTA PISI KALI ZAID YA HUYO WANAWAKE BILA KUWA NA AKILI YA ZIADA WATAKUCHEZEA AKILI
Ahaaa.. nazeeka vibaya auntie Ako rafiki akili ishakua nzitroo sikuhiziπ€ !Kuna sehemu hatukuelewana....
ππππ nilitaka kujua ankoli wangu mzima
Mzee usiweke mtu Moyoni mwakoInauma sana.
Mtoa mada, una miaka mingapi? Nijibu kabla sijakushauri chochote Amicus CuriaeMkuu, sijui hata imekuaje tena. Ninavyojisikia hapa ni Mungu pekee anajua.
BM coach, hii ni project ya seriousNiambie utaingia lini,basi gani,la saa ngapi utanikuta msamvu nakusubiri nikupokee.
We tulia wewe 'Selemani' utafanywa vibaya mibanga mishisha hio unayovuta kua makini unajilostishawe mama Kiaguni[mention]Nota Bene 59124 [/mention] kila comment za wanaume unajibu
Yaani unamaanisha Shangazi kubwa lao
Mbona bado sana.. Auntie wa mie bado upo vyedi mnoo natural anππππππππππAhaaa.. nazeeka vibaya auntie Ako rafiki akili ishakua nzitroo sikuhiziπ€ !
Jr ako vyedi sana anakusamilia!
π€ π€ ! Nimetoka kuview file nikawakumbukajeeeee na drama zetu kule π!Mbona bado sana.. Auntie wa mie bado upo vyedi mnoo natural anππππππππππ
Nime zoom zile B\W βοΈπ₯³π₯³π₯³π€©
Wametuweza mbona.....π€ π€ ! Nimetoka kuview file nikawakumbukajeeeee na drama zetu kule π!
Kesho watayamaliza.Ndio mumwambie haka ni katabia kenu ka kutafuta attention π
Yeah palichachuka pakawa vurugumechi kila leo!Wametuweza mbona.....
Sema watu walichafukwa nyie π€π€π€ππππ