Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Angalia kwanza last seen yake...Hali ikoje sasa ivi? Updates plz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia kwanza last seen yake...Hali ikoje sasa ivi? Updates plz
Toka 2016.[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hyo nikikupm nijitambulishaje
Soon utapata unachokitafuta, muombe sana mungu usiwe unanyemelewa na kipepo cha umalaya , maana una stress za mapenz na unataka kumkomoa jamaa.Habari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
UNA NYOTA YA UKIMWI....Habari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
Unataka tukukwamue na hiyo haliHabari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
Bado uko single dada wemaKwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Jmn , mm saiz tulisha sameheana na yule jamaa tukaanza upya, tukaona, saizi tuna mtt ana mwaka.Bado uko single dada wema
Hongera sana mkuu.Jmn , mm saiz tulisha sameheana na yule jamaa tukaanza upya, tukaona, saizi tuna mtt ana mwaka.
Njoo unishike mkono na mimi tafadhaliHabari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
Asante mkuuHongera sana mkuu.
Na wewe unapita pita majukwaani...[emoji23]Any update????
jihadharini, wengi wa wanaoandika hivi ni wanaume, wanajifanya wanawake ukiingia mkenge wanaomba nauli au pesa kabla hamjakutana.Habari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
toka 2016 ndio mna mtoto mmoja ana mwaka?Jmn , mm saiz tulisha sameheana na yule jamaa tukaanza upya, tukaona, saizi tuna mtt ana mwaka.