chingyeddy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 339
- 136
Katika hali hiyo, jaribu kupenda kama kwenda beach. Pia, usikibari kuwa peke ako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtihani wa kiswahili darasa la saba ulipata alama gani, maana unamaneno sana ka mrisho mpoto lohSio hivyo mamii,unajua sisi wengine tuna ngekewa yaani ni kugusa tu mambo gedegede lainiiiiiiiiii au vipi,nakaribia kula nyama ya njiwa wa kubanika,maana nataka nimliwaze nimpe ile kitu roho inataka kuliko aje aangukie kwa mabazazi maana ana ugwadu.
Nashukuru kwa ushaurKatika hali hiyo, jaribu kupenda kama kwenda beach. Pia, usikibari kuwa peke ako
Yaani ni shauri ya kukaa coast sana na mainland kwa kiasi,kingine niliwahi kuwa muigizaji nikiwa secondary yaani nilikuwa mahiri kwenye drama ukiunganisha na kukaa vijiweni mamii,anyway shemeji yangu hajambo? na anakutuliza roho yako ikidunda kama danadana?na maana akupe pozo l roho,kama hafanyi hivyo nafasi yake iko mashakani.Mtihani wa kiswahili darasa la saba ulipata alama gani, maana unamaneno sana ka mrisho mpoto loh
Ooh kumbe ulikua kifungoni! Hope amekusamehe sasa nawe usirudie tenaNipo mrembo,hujaniona muda mrefu sababu ya ujinga wangu na kuwakosea adabu warembo wa jamii forum,ni kwamba nilikuwa namtania tu mrembo Skyeclat huku nikimwambia ameniangusha na ameniumiza moyo wangu na kwa nini hanionei huruma mie mwenzie nataka kuwekeza kwake,heeh mwenzangu hakupenda akani report nikala ban mwezi mzima mamii,hata hivyo nimekoma sintarudia na nitamuomba anisamehe, yule mrembo ni msaarabu kama wewe mamii.
Ninakusaka mremboKuachwa na mpenzi halafu kutamani kila mwanaume hapo sijaelewa vina husiana vipi,
[HASHTAG]#Promo[/HASHTAG]@Work#
Nitafute PM nina dawa mardaaadi kabisa dada.Habari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
Life is not all about sex, i agree that it's an important part of life and is truly enjoyable when it's with that right someone and not with every Tom, Dick and Harry.Ata enjoy vipi kuwa single alone wakati hapati mgegedo au unataka mwenzio ajichue na maji?
Sirudii mamii,yaani nimekoma,maana Skyeclat ni mrembo anaejiheshimu sana hajawahi kuandika kitu kibaya au ujinga hata mara moja,basi na mimi siku hiyo nakazidisha Larger huku nikidhani watu wote ni kama Valentina yaani nawe unisamehe mamii,mara nyingi nilikukosea,hata hivyo humu ndani watu hatujuani na pia hatuonani ila sio vizuri nilivyofanya mamii.Anyway kwa sababu nimetubu na nimekuwa mtoto mzuri sasa,naomba usinchomolee tena,yaani unipe zawadi ya pipi mrembo japo cyber love au vipi?Ooh kumbe ulikua kifungoni! Hope amekusamehe sasa nawe usirudie tena
Mm pia yamenikuta kama yakwako njoo tuongee niko siriazHabari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
Hivi Karanja unakulaga vitu gani ? Wewe jamaa ni bonge moja la entertainer ,kila napoona Comments zako lazima nicheke ,halafu watu wa aina yako mnakuaga ma geniusNipo mrembo,hujaniona muda mrefu sababu ya ujinga wangu na kuwakosea adabu warembo wa jamii forum,ni kwamba nilikuwa namtania tu mrembo Skyeclat huku nikimwambia ameniangusha na ameniumiza moyo wangu na kwa nini hanionei huruma mie mwenzie nataka kuwekeza kwake,heeh mwenzangu hakupenda akani report nikala ban mwezi mzima mamii,hata hivyo nimekoma sintarudia na nitamuomba anisamehe, yule mrembo ni msaarabu kama wewe mamii.
Hivi Karanja unakulaga vitu gani ? Wewe jamaa ni bonge moja la entertainer ,
Nakushukuru Mkuu uncleBen ubarikiwe,ukweli ni shida za hapa duniani zinatufanya akili zikamate mambo mengi,yaani mambo mengine ya kijinga na uhuni na hapo hapo hekima na busara pia vinajengeka.Kwa kifupi nimekulia maisha ya shida sana tokea utotoni,yaani Mungu ni mkubwa kupiata maelezo,nilisoma kwa tabu sana,nilijisomea usiku kwa kibatari,ikafika wakati hata pesa ya mafuta ya taa nilikosa,nikawa naenda kusoma chini ya street light mpaka kunapambazuka,bahati shule zote mpaka chuo kikuu nilisomeshwa na Serekali sababu nilifaulu kuanzia std 7,o level,Alevel mpaka chuo kikuu na hatimae scholaship mbali mbali nje ya nchi,ni mtoto yatima aliefiwa wazazi wawili tokea udogo.Hivi Karanja unakulaga vitu gani ? Wewe jamaa ni bonge moja la entertainer ,kila napoona Comments zako lazima nicheke ,halafu watu wa aina yako mnakuaga ma genius
[emoji38][emoji38][emoji38]
Ilifika wakati ilibidi niwe naiba viazi vitamu na mikungu ya ndizi kwenye mashamba ya watu usiku mwingi wa giza,ili kujiokoa na njaa,Bwana Mungu namuomba anisamehe,nashukuru sasa hivi niko vizuri na maisha yanaenda,kuhusu utani wangu kupitiliza na wakati mwingine kufikia kuudhi watu,hata hivyo nia na madhumuni sio kuwakosea watu,huwa napenda kucheka na kuchekesha jamii na ndio maana kila mara napigwa ban ndugu yangu,nitajirekebisha lakini utani sintoacha mkuu.