Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dada namfahamu!Habari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
Sidhani kama nina tamaaJe ukipata wa kukuoa, utaacha tamaa?
Wapi tenaHuyu dada namfahamu!
Pole, ubora wangu upi hapo napata shida kaa wewe tudaah unatatizo kama langu ila wewe wa kike mimi wa kiume. bora wewe wa kike kwangu nahisi kama ugonjwa kabisa.
Wakutoshaa, tena sio kwa ushauri ila promo binafsiBila shaka wameshakuja huko PM.
Hebu jifanye huwazi mavitu hayo,concentrate katika majukumu yako jifanye kama hujawahi kupata hisia hizoHabari wana JF,
Mimi ni msichana wa miaka 24, nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tumedumu kwa miaka mitatu, bahati mbaya mwenzangu akawa ananichit kwa kuanzisha uhusiano na ex wake, na mpaka nilipokuja kugundua ikabidi tubroke na mimi.
Kwa hiyo kutokana na hali hiyo nimekuwa single kwa muda, tatizo langu sasa kiukweli namiss mapenzi mbaya, saizi nimekuwa navutiwa na wanaume ovyoovyo yani natamani hata anishike mkono tu.
Nisaidieni mwenzenu nifanyaje niepuke na hili pepo jamani
Natanguliza shukrani
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hyo nikikupm nijitambulishajeIn PM ili niweze kukupa ushauri mzuri Mkuu. Wewe utakuwa wa kumi kati ya wadada niliyowasaidia tatizo kama lako.
Kila siku wamekuwa wakipiga simu wanipe shukurani.
Tafadhali Usipuuze Mkuu.
Nashukuru, najitahidi sana kuwa makini ndugu yangiKua makini ndugu yangu, usijejuta mbele
Afu weweeeeeDaah Vale bhana usinirushie njiwa huyu,maana mtego wangu utamnasa hivi punde,kwa hiyo usimuamshe tafadhali.
My god this girl is nasty!!
uhusiano ni kwamba alizoeshwa sana dyudyu now uvumilivu unamshinda, mbona inahitaji elimu ndogo tuu kuelewa hapooKuachwa na mpenzi halafu kutamani kila mwanaume hapo sijaelewa vina husiana vipi,
[HASHTAG]#Promo[/HASHTAG]@Work#
Sasa ndio nini ? [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Sio hivyo mamii,unajua sisi wengine tuna ngekewa yaani ni kugusa tu mambo gedegede lainiiiiiiiiii au vipi,nakaribia kula nyama ya njiwa wa kubanika,maana nataka nimliwaze nimpe ile kitu roho inataka kuliko aje aangukie kwa mabazazi maana ana ugwadu.Afu weweeeee