Tetesi: Nimeambiwa ni bilioni 300 zilitumika kuweka mabango ya Rais Samia nchi nzima

Tetesi: Nimeambiwa ni bilioni 300 zilitumika kuweka mabango ya Rais Samia nchi nzima

Mkuu Hiyo Bil 300 Ni pesa nyingi mno, Labda nikupe mfano wa macho ya nyama. Morocco Square mradi wa NHC pale Morocco Ni Bil.500. Mradi wa Magomeni quarter ni Bil..52.
Mimi sijasomea uhasibu Wala Mahesabu na Sina maslahi yoyote Katika kuongelea hili.. Ila Bil..300. hiyo Ni pesa unajengea ukoo wako wote nyumba japo ya milioni 20 kwa kila mmoja.
 
Mnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?

Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.

Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.

Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.

Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!
Hizo fedha zingemaliza kabisa tatizo la madawati
 
Bajeti ya uchaguzi mzima mpaka mtu anashinda uraisi Marekani inachezea Bilioni 700.

Ni ngumu mtu Tanzania atumie bilioni 300 kwenye matangazo. Nyingi sana hiyo. Itakuwa wamekudanganya
Marekani wanatumia application kwenye uchaguzi ndiyo maana wanaanza kupiga kura mwezi mmoja kabla nikama unavyoenda kwenye ATM, hakuna makarani wa kusimamia uchaguzi kama huku
 
Sasa mkuu umeambiwa tu na wewe pasipo kufanya tathmini yako unakurupuka kusema bilioni 300 kweli?

Hivi kweli bil 300 zitumike kwenye mabango?

Yes, mabango yanaweza kuwa na gharama lakini sio ya 300 bilioni.
Bango moja siyo chini ya lakini 3 pamoja na rushwa, kuna kata, mitaa na nguzo ngapi?
 
Mnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?

Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.

Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.

Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.

Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!
Huyu maza ni mzigo mzito sana.
Ndio maana watu wanajopigia tu🤣🤣
 
Acha umbea,,,Weka ushahidi wako hapa,,kwa hayo unayoropoka!!
 
kimsboy watanzania awareness yao ni ndogo katika kujua wajibu wa serikali kwao, wengi wanaamini serikali kutelekeza wajibu wake ni hisani kwao.

Hata likiibuka swala la upigaji utaona watakaoreact ni wachache tu [emoji848]hasa Kanda flan ambayo huduma za kijamii tayar zimesambaa sana ila huwezi ona watu kutoka kigoma, katavi, mpanda na kwa kina mzindakaya wakireact
 
Mnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?

Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.

Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.

Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.

Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!
Unaijua hata billion 1 tu wewe!
Eti umeambiwa, akili za kuambiwa changanya na za kwako. Usikurupuke....
 
Sasa mkuu umeambiwa tu na wewe pasipo kufanya tathmini yako unakurupuka kusema bilioni 300 kweli?

Hivi kweli bil 300 zitumike kwenye mabango?

Yes, mabango yanaweza kuwa na gharama lakini sio ya 300 bilioni.
Hoja hupingwa kwa hoja..
Tuwekee hapa summary ya utafiti wako kuwa wameweka mabango ngapi nchi nzima, na kila bango ni kiasi kadhaa, na jumla yake
 
Mnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?

Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.

Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.

Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.

Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!
Ndio ujue juwa kuna kituko huko juu. Kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza
 
Marekani wanatumia application kwenye uchaguzi ndiyo maana wanaanza kupiga kura mwezi mmoja kabla nikama unavyoenda kwenye ATM, hakuna makarani wa kusimamia uchaguzi kama huku
Kampeni binafsi,sio gharama za serikali
 
Mnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?

Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.

Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.

Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.

Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!
Hela imetoka mfukoni mwake au sirikalini?
 
Ukishakuwa mwepesi kila mtu atakuwa anakudunda,naona huyu Rais wetu afadhali ajikalie tu muhura mmoja,kama akin'gan'gania na muhula wa pili atakufa kwa presha
 
Sasa mkuu umeambiwa tu na wewe pasipo kufanya tathmini yako unakurupuka kusema bilioni 300 kweli?

Hivi kweli bil 300 zitumike kwenye mabango?

Yes, mabango yanaweza kuwa na gharama lakini sio ya 300 bilioni.
Bil. 31 zinakwenda Kukarabati Nini pale kwenye uwanja Wa Mkapa?

Mfumo Wa wizi unafanya Kila njama kuiba fedha za umma?
Tumekubali kuongozwa na watu waovu.

Wahalifu waliopaswa kukaa gerezani tumewaachia ofisi za umma na fedha Kwa sababu ya woga Wetu.
 
Sisi ndio tunamkosea Mungu kwa ujinga wetu...Ni kweli sisi ni wajinga lakini mtu asizidishe hadi anafika kwako kunya juu ya kitanda chako
 
Back
Top Bottom