Tetesi: Nimeambiwa ni bilioni 300 zilitumika kuweka mabango ya Rais Samia nchi nzima

Tetesi: Nimeambiwa ni bilioni 300 zilitumika kuweka mabango ya Rais Samia nchi nzima

Mnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?

Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.

Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.

Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.

Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!
Mabango yenyewe hayajawekwa hadi leo, mengine wamaimika nguzo hazina majina wameacha tu hivo siku hiz watu wanayavunja wanatengenezea mageti
 
Sasa mkuu umeambiwa tu na wewe pasipo kufanya tathmini yako unakurupuka kusema bilioni 300 kweli?

Hivi kweli bil 300 zitumike kwenye mabango?

Yes, mabango yanaweza kuwa na gharama lakini sio ya 300 bilioni.
Yatakuwa zaidi ya hiyo pesa.
Hebu jaribu kufikiri tenda ya hiyo kazi.
1.Kuyabuni pamoja na meseji zake. 2.Kuchapicha
3.Kuyasambaza kila mkoa, wilaya, mitaa, etc.
4.Kukodi zile fremu za kuyatundikia
5.Kulipia Halmashauri za nchi nzima ili kubandika matangazo ya mabango. (Hata kama Hawa wezi hawajalipia, gharama ya kulipa ni pesa zilizopaswa kulipwa, hivyo zilizoibwa kwa njia ya kukwepa kulipia huduma au WIZI)
5.Kuyafunga mabango (installation) nchi nzima.

GHARAMA HIZO ZOTR NI ZAIDI YA BILION 300. NI WIZI WA KIMATAIFA. WEZI WA KIWANGO HIKI HATA WAKIPIGWA RISASI NI HALALI YAO.
 
Wezi wanapaswa kufungwa gerezani .
Kwa nini hawakamatwi ?
Ina Maana Kuna mkubwa yupo upande Wa Wezi ?

Bil. 31 zinakwenda Kukarabati vyoo na Viti pale uwanjani ???
Wizi mtupu!!
Bil 7 zingetisha kabisa .

Vitu vidogo vimewashinda kutokana na kukosa MTU Wa kuchukua hatua na si vinginevyo.
Nchi imekabidhiwa matapeli waiendeshe. Usitarajie waweze chochote zaidi ya wizi na utapeli.
 
Mabango yenyewe hayajawekwa hadi leo, mengine wamaimika nguzo hazina majina wameacha tu hivo siku hiz watu wanayavunja wanatengenezea mageti
Afadhali nianze kuhamasisha kampeni ya kuyapiga X nchi nzima. Mimi nimeshachagua mabango 10 ya kuyapiga X yaliyopo mtaani kwangu.

Kila mwenye uzalendo na nchi yake atafute mabango matano ayapige X kwa kutumia makapeni ya wino mwekundu.
 
Bajeti ya uchaguzi mzima mpaka mtu anashinda uraisi Marekani inachezea Bilioni 700.

Ni ngumu mtu Tanzania atumie bilioni 300 kwenye matangazo. Nyingi sana hiyo. Itakuwa wamekudanganya
Mkuu humo pia zipo walizogawana wakubwa,hapo imetumika Bilioni 100 zingine zimewekwa kwa mfuko.Hii ndiyo Tanzania iliyo chini Mafia of Msoga Kingdom!
 
Mkuu Hiyo Bil 300 Ni pesa nyingi mno, Labda nikupe mfano wa macho ya nyama. Morocco Square mradi wa NHC pale Morocco Ni Bil.500. Mradi wa Magomeni quarter ni Bil..52.
Mimi sijasomea uhasibu Wala Mahesabu na Sina maslahi yoyote Katika kuongelea hili.. Ila Bil..300. hiyo Ni pesa unajengea ukoo wako wote nyumba japo ya milioni 20 kwa kila mmoja.
Mkuu hapo ndiyo tusha pigwa tayari.Wewe umesahau ripoti ya CAG alivyobainisha kuwa TRC walikataa mzabuni wa Bilioni 400 na wakamchukua mzabuni wa trillion 1.Wewe unadhani hapo hatukupigwa?
Unashangaa Bilioni 300,Hela ya kawaida kabisa kupigwa!
 
Ww uafikiri lile bango ni shi 1m moja
Ujue wanashindwa kuelewa kuwa kuna tofauti kati kipeperushi na Bango(Billboard) tena lenye taa na lipo katika strategic location kama roundabouts.Yale Mabango ata milioni 100 inafika kwa Bango moja!
 
Mnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?

Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.

Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.

Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.

Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!
Hii ya mabango hata mie nishasikia. Mwaka 2020 mabeberu walichanga 200m/= kwa mabango na vipeperushi na vibonzo wa tundulissu Mgombea urais. Ilibidi CAG Professor Musa Assad awalime audit query CHADEMA wajieleze wakabaki kumung'unyamung'unya maneno hiyo query haijajibiwa hadi leo.
 
Wezi wanapaswa kufungwa gerezani .
Kwa nini hawakamatwi ?
Ina Maana Kuna mkubwa yupo upande Wa Wezi ?

Bil. 31 zinakwenda Kukarabati vyoo na Viti pale uwanjani ???
Wizi mtupu!!
Bil 7 zingetisha kabisa .

Vitu vidogo vimewashinda kutokana na kukosa MTU Wa kuchukua hatua na si vinginevyo.
Wanaiba mpaka kura.....

Hakuna wa kuwafanya lolote
 
Wahuni hapo washaongeza zao juu.

Uchaguzi 2025, wajanja watatajirika sana kupitia hela za CCM maana mama ameshatishwa naye katishika, sasa anapigwa hela.
 
Mkuu Hiyo Bil 300 Ni pesa nyingi mno, Labda nikupe mfano wa macho ya nyama. Morocco Square mradi wa NHC pale Morocco Ni Bil.500. Mradi wa Magomeni quarter ni Bil..52.
Mimi sijasomea uhasibu Wala Mahesabu na Sina maslahi yoyote Katika kuongelea hili.. Ila Bil..300. hiyo Ni pesa unajengea ukoo wako wote nyumba japo ya milioni 20 kwa kila mmoja.
Labda ni milioni 300, na siyo bilioni 300. Lakini hata milioni 300 kwa picha ambazo hazina msaada wowote katika maendeleo ya nchi au watu, ni nyingi sana.
 
Mnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?

Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.

Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.

Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.

Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!
Uje pia na matokeo chanya ya safari nyingi nje za Samia.

Uje pia na hoja kuhusu alivyoweza kurudisha uhusiano wa Tanzania na EU uliokuwa umekufa kabisa kwa kiburi na ubishi wa JPM.

Hizo bilioni 300 ni ndogo sana kwa makusanyo ya miezi mitatu ya TRA. Na kumbuka kuwa CCM ndio wenye ilani ya uchaguzi wanajenga zahanati na vituo vya afya kila kona nchini.
 
Sasa mkuu umeambiwa tu na wewe pasipo kufanya tathmini yako unakurupuka kusema bilioni 300 kweli?

Hivi kweli bil 300 zitumike kwenye mabango?

Yes, mabango yanaweza kuwa na gharama lakini sio ya 300 bilioni.
Yeah, nafikiri ni 300m/=.
 
kimsboy watanzania awareness yao ni ndogo katika kujua wajibu wa serikali kwao, wengi wanaamini serikali kutelekeza wajibu wake ni hisani kwao.

Hata likiibuka swala la upigaji utaona watakaoreact ni wachache tu [emoji848]hasa Kanda flan ambayo huduma za kijamii tayar zimesambaa sana ila huwezi ona watu kutoka kigoma, katavi, mpanda na kwa kina mzindakaya wakireact
Ni mikoa ya watu Mbumbumbu wa kupindukia mipaka.
 
Back
Top Bottom