Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Mabango yenyewe hayajawekwa hadi leo, mengine wamaimika nguzo hazina majina wameacha tu hivo siku hiz watu wanayavunja wanatengenezea magetiMnashinda salama mna raha gani humu jukwaani?
Haya ndugu zangu, nimepewa info kuwa yale mabango ya kumsifia boss kuwa anaupiga mwingi yaliyojaa kuanzia kila kona ya DSM na mikoani kila kona yamewekwa yamegharimu bilioni 300.
Tukiwaambia hafai tunaonekana hatuna adabu. Yaani unapeleka bilioni 300 kwenye mabango huku watu wako wananuka shida.
Yaani roho yangu inaniuma sana. Sijui niseme nini imefika mahali nimekua na chuki kali juu ya haya yanayoendelea kwa sasa.
Unatumia vipi bilioni 300 kuweka mabango ya kusifia ilhali watu wanakufa bila dawa hospitalini? Mungu tulikufanyia nini sisi? Daaaah!!