Tetesi: Nimeambiwa ni bilioni 300 zilitumika kuweka mabango ya Rais Samia nchi nzima

Akina makamba na mwigulu ndo waliofadhili huu ujinga ili mwanasesera aoneka mchapakazi kuliko mtangulizi wake
 
Ila hata mwendazake nae alikuwa amesambaza sana mabango,na kuna yale ya bwana Mwigulu
Ya magufuli yalikuwa ya uchaguzi yaliyowekwa na chamaa ndo ya kaendelea hadi huko, halafu yalikuwa ni ya kawaida sana huyu amewekewa hadi graphics za mabango kuonyesha utukufu wake sio sawa kabisa
 
Sasa mkuu umeambiwa tu na wewe pasipo kufanya tathmini yako unakurupuka kusema bilioni 300 kweli?

Hivi kweli bil 300 zitumike kwenye mabango?

Yes, mabango yanaweza kuwa na gharama lakini sio ya 300 bilioni.
Ww uafikiri lile bango ni shi 1m moja
 
Tunajitahidi kuwashika mikono lkn suala la kuwadhuru kidogo ni ngumu sio rahisi na uhakika na nachokisema.

Ndani ya mfumo sio wote wanaofurahia huu uwizi unaoendelea hata kuvuja kwa mkataba wa serikali yetu na DPW ni wenye nia njema waliopo kwenye mfumo la sivyo tungeshaumia zamani, ko hata litakapotokea kundi la kutaka kuwadhuru mapema sana hyo mipango miovu itajulikana mapema
 
Wanaomshauri ndo tuwashukuru sana maana nimeona wazi kabisaa wanamshauri kimkakati kwa malengo wanayoyajua wao
Uwanja Wa Mkapa unakwenda kukarabatiwa Kwa Bil. 31.
Wakisha kuukarabati watawapa Wachina wachukue mapato mana watanzania ni Wezi.
 
Sasa mkuu umeambiwa tu na wewe pasipo kufanya tathmini yako unakurupuka kusema bilioni 300 kweli?

Hivi kweli bil 300 zitumike kwenye mabango?

Yes, mabango yanaweza kuwa na gharama lakini sio ya 300 bilioni.
Lisilowezekana kwa wengine kwa CCM linawezekana.ccm ni zaidi ya covid
 
Hiyo inajenga Ubungo interchange na bilioni 40 zinabaki, daaah!!!
 
Ila hata mwendazake nae alikuwa amesambaza sana mabango,na kuna yale ya bwana Mwigulu
Mabango ya jpm hayakuwa na budget hiyo, ni yale yale yalitumika kipindi cha uchaguzi. Hakuwa mtu wa kuunguza pesa namna hiyo.
 
tuliza tako we mmbea na uzushi wako. Hata zimetumika ni za mamako? Kumpongeza rais wetu we unawashwa na nini.
 
Wezi haswaa
Wezi wanapaswa kufungwa gerezani .
Kwa nini hawakamatwi ?
Ina Maana Kuna mkubwa yupo upande Wa Wezi ?

Bil. 31 zinakwenda Kukarabati vyoo na Viti pale uwanjani ???
Wizi mtupu!!
Bil 7 zingetisha kabisa .

Vitu vidogo vimewashinda kutokana na kukosa MTU Wa kuchukua hatua na si vinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…