Nimeambiwa nichague kituo cha kazi cha kudumu Tanga mjini au Singida mjini, Je nihamie wapi ?

Nimeambiwa nichague kituo cha kazi cha kudumu Tanga mjini au Singida mjini, Je nihamie wapi ?

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Wakuu habari zenu

Kazi nayofanya nimezunguka nimeishi miji kadhaa kila baada ya mwaka nahamishwa, kwa sasa nipo Njombe

mwaka huu nimefikia vigezo vya kupata kituo cha kudumu, nafasi zilizo wazi ni Singida mjini au Tanga mjini

Nitakohamia ndio maisha yangu rasmi yanakohamia pamoja na familia yangu.

Kati ya vigezo navyovitilia mkazo ni

mji uwe tulivu

Usalama wa mji

Huduma za maji na umeme

Ustaarabu wa watu

Upatikanaji wa vyakula salama kwa bei rafiki masokoni

Gharama za ujenzi (nataka kujenga nimechoka kupanga)

n.k.
 
Wakuu habari zenu

Kazi nayofanya nimezunguka nimeishi miji kadhaa kila baada ya mwaka nahamishwa, kwa sasa nipo Njombe

mwaka huu nimefikia vigezo vya kupata kituo cha kudumu, nafasi zilizo wazi ni Singida mjini au Tanga mjini

Nitakohamia ndio maisha yangu rasmi yanakohamia pamoja na familia yangu.

Kati ya vigezo navyovitilia mkazo ni

mji uwe tulivu

Usalama wa mji

Huduma za maji na umeme

Ustaarabu wa watu

Upatikanaji wa vyakula salama kwa bei rafiki masokoni

Gharama za ujenzi (nataka kujenga nimechoka kupanga)

n.k.
Njoo Tanga bosi ,kila huduma ipo hapo na pia ni karibu na jiji la Dar masaa yako manne na nusu upo mjini

Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habari zenu

Kazi nayofanya nimezunguka nimeishi miji kadhaa kila baada ya mwaka nahamishwa, kwa sasa nipo Njombe

mwaka huu nimefikia vigezo vya kupata kituo cha kudumu, nafasi zilizo wazi ni Singida mjini au Tanga mjini

Nitakohamia ndio maisha yangu rasmi yanakohamia pamoja na familia yangu.

Kati ya vigezo navyovitilia mkazo ni

mji uwe tulivu

Usalama wa mji

Huduma za maji na umeme

Ustaarabu wa watu

Upatikanaji wa vyakula salama kwa bei rafiki masokoni

Gharama za ujenzi (nataka kujenga nimechoka kupanga)

n.k.
Ile kutaja Tanga tu, tayari nakuonea wivu.
Ila kweli iwe Tanga mjini. Wasije wakakupeleka kilindi, Pangani au Handeni.
 
Wakuu habari zenu

Kazi nayofanya nimezunguka nimeishi miji kadhaa kila baada ya mwaka nahamishwa, kwa sasa nipo Njombe

mwaka huu nimefikia vigezo vya kupata kituo cha kudumu, nafasi zilizo wazi ni Singida mjini au Tanga mjini

Nitakohamia ndio maisha yangu rasmi yanakohamia pamoja na familia yangu.

Kati ya vigezo navyovitilia mkazo ni

mji uwe tulivu

Usalama wa mji

Huduma za maji na umeme

Ustaarabu wa watu

Upatikanaji wa vyakula salama kwa bei rafiki masokoni

Gharama za ujenzi (nataka kujenga nimechoka kupanga)

n.k.
Nenda TANGA USIENDE SINGIDA UTAPAUKA kama kadeti za mchina
 
Wakuu habari zenu

Kazi nayofanya nimezunguka nimeishi miji kadhaa kila baada ya mwaka nahamishwa, kwa sasa nipo Njombe

mwaka huu nimefikia vigezo vya kupata kituo cha kudumu, nafasi zilizo wazi ni Singida mjini au Tanga mjini

Nitakohamia ndio maisha yangu rasmi yanakohamia pamoja na familia yangu.

Kati ya vigezo navyovitilia mkazo ni

mji uwe tulivu

Usalama wa mji

Huduma za maji na umeme

Ustaarabu wa watu

Upatikanaji wa vyakula salama kwa bei rafiki masokoni

Gharama za ujenzi (nataka kujenga nimechoka kupanga)

n.k.
Tanga mjini ni best sana
 
Back
Top Bottom