Nimeambiwa nichague kituo cha kazi cha kudumu Tanga mjini au Singida mjini, Je nihamie wapi ?

Nimeambiwa nichague kituo cha kazi cha kudumu Tanga mjini au Singida mjini, Je nihamie wapi ?

Tanga Kuna fursa Gani potential za Muda wote? Kwanza sasa hivi ndio vyumba vimepanda Bei mpka elfu 80 Self, sababu ya Wageni wengi kwenye mradi wa BBN, tena hapo ni Sahare Raskazone, Hizo sehemu unazosema usafiri wa Hadi sa nane ni siku na siku kwenye Vishughuli, ni hapo bistro na likely, Gari za Tangabeach,Donge,Mikanjuni-Raskazone sa mbili na nusu zinaenda kulala, kadhalika na za kange ndio umeumia, Wadigo na wazigua kwenye biashara hawana haraka kabisa kukujibu sio riziki nenda kwingine, kawaida sana labda wasambaa,
Oohh basi yawezekana labda ni kwenye siku maalum tu, maana mimi nilikuwepo wakati wanajiandaa kumpokea mama, kuna sehemu nilipita usiku nikaona zimechangamka sana
 
Oohh basi yawezekana labda ni kwenye siku maalum tu, maana mimi nilikuwepo wakati wanajiandaa kumpokea mama, kuna sehemu nilipita usiku nikaona zimechangamka sana
Hizi tarehe za ugeni ndio wamejifanya na haraka na kuchanganka na wageni, lakini Bado mamwinyi anayefungua duka sa 12 mpka sa 1 ni mchaga tu na mpare, Wengine wote sa mbili na nusu mpk tatu. Ukiwa na haraka Tanga utagombana na wenyeji.
 
NENDA SINGIDA MKUU,TANGA HALI YA HEWA JOTO BAALAAA KAMA UPO JIKONI NA USHIRIKINA NI MOTO
 
Tanga Kuna fursa Gani potential za Muda wote? Kwanza sasa hivi ndio vyumba vimepanda Bei mpka elfu 80 Self, sababu ya Wageni wengi kwenye mradi wa BBN, tena hapo ni Sahare Raskazone, Hizo sehemu unazosema usafiri wa Hadi sa nane ni siku na siku kwenye Vishughuli, ni hapo bistro na likely, Gari za Tangabeach,Donge,Mikanjuni-Raskazone sa mbili na nusu zinaenda kulala, kadhalika na za kange ndio umeumia, Wadigo na wazigua kwenye biashara hawana haraka kabisa kukujibu sio riziki nenda kwingine, kawaida sana labda wasambaa,
UYO HAPAJUI VIZURI TANGA ATAKUWA ALIENDA SABASABA PALE MITAAA YA MALAYA BEN BISTRO AU TANGA PAZURI NDO WANAKESHA ILAA MJI NI UNA JOTO BALAAA NA SHUGHULI ZOTE UISHA MAPEMA WATU WANAENDA KULALA,WATU HAWAIJUI VIZURI TANGA WANAAROPOKA TU
 
Wakuu habari zenu

Kazi nayofanya nimezunguka nimeishi miji kadhaa kila baada ya mwaka nahamishwa, kwa sasa nipo Njombe

mwaka huu nimefikia vigezo vya kupata kituo cha kudumu, nafasi zilizo wazi ni Singida mjini au Tanga mjini

Nitakohamia ndio maisha yangu rasmi yanakohamia pamoja na familia yangu.

Kati ya vigezo navyovitilia mkazo ni

mji uwe tulivu

Usalama wa mji

Huduma za maji na umeme

Ustaarabu wa watu

Upatikanaji wa vyakula salama kwa bei rafiki masokoni

Gharama za ujenzi (nataka kujenga nimechoka kupanga)

n.k.
Muulize huyo aliekupa ajira
 
Wakuu habari zenu

Kazi nayofanya nimezunguka nimeishi miji kadhaa kila baada ya mwaka nahamishwa, kwa sasa nipo Njombe

mwaka huu nimefikia vigezo vya kupata kituo cha kudumu, nafasi zilizo wazi ni Singida mjini au Tanga mjini

Nitakohamia ndio maisha yangu rasmi yanakohamia pamoja na familia yangu.

Kati ya vigezo navyovitilia mkazo ni

mji uwe tulivu

Usalama wa mji

Huduma za maji na umeme

Ustaarabu wa watu

Upatikanaji wa vyakula salama kwa bei rafiki masokoni

Gharama za ujenzi (nataka kujenga nimechoka kupanga)

n.k.
Nenda Tanga kama unataka ustaarabu na utulivu,ila kama unapenda hekaheka na kuchafuliwa na vumbi nenda Singida,pia usiache kwenda na jiwe la kusugulia miguu...
 
Back
Top Bottom