Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kwa nini na ushahidi upo waziKws gharama yoyote usje ukakiri kosa
fixes za mapendo?Jamaa kilaza sana!😂😂😂😂Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.
Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.
Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
We vipi ushahidi ndio nini we mwanaume wa wapi haya mkubalie uachweKwa nini na ushahidi upo wazi
Hatuwachiti kwasababu hatuwapendi wake zetu, kuna wakati tunalazimika kufanya hivo.Utakuwa mwanaume wa kwanza kukiri mkuu wenzio hata uwafume wanakulana wanakataa kabisa na tukio umeona
Sema kweli we mzeeHatuwachiti kwasababu hatuwapendi wake zetu, kuna wakati tunalazimika kufanya hivo.
Mkitukamata tumewachiti hatukiri kosa kwasababu kufanya hivo kunawaongezea maumivu nyie wake zetu badala yake tunakataa kwakuwa kufanya hivo mnapata ahueni kwa kujifariji kwamba aaah kumbe mume wangu bado ananipenda na ndio uhalisia wenyewe
Kama hataachwa lazima mkewe ataahidi mbele yake kulipiza kisasiWe vipi ushahidi ndio nini we mwanaume wa wapi haya mkubalie uachwe
Ndivyo ilivyo shangazi ShunieSema kweli we mzee
Hata kama ulikutwa live juu ya kiuno usije ukakiri ikiwezekana unasema yawezekana umefananishwa. Usikiri kosa la usaliti utajuta milele na milele AminaKwa nini na ushahidi upo wazi
🤣🤣🤣🤣Kws gharama yoyote usje ukakiri kosa