BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Usijaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aloo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu upo sawa. Mimi nakomaa ila mchepuko ulitamba kuwa umevuliwa chupi
Weye ni kimondo tu.😂😂😂Kwa kuwa mimi kamanda ndio huwa sitombi?
Never on Earth... kama ulishakaa shikilia hapo hapo.... ukiyumba imekula kwako. Komaaa kiume hata ikiletwa picha yako ya Video ya tukio endelea kukataa katakata.... Kataaa!! Utanishukuru baadaeIli nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Bahati mbaya mkeo yupo mbali. NingemkojoreshaWeye ni kimondo tu.😂😂😂
Kazi yake hauiwezi.Unakula maandazi mawili kwa chilisosi kama lunch utayawezea wapi?Bahati mbaya mkeo yupo mbali. Ningemkojoresha
Badili jina jiite KAMANDA ULIYECHOKA.... Hapo fanya uwezalo kesi ihamie kwake. Hakikisha yeye ndo anakuomba msamaha.Meseji ya saa 11 alfajiri ikionyesha nipo na mchepuko?
Kwani ni kubeba matofali?Kazi yake hauiwezi.Unakula maandazi mawili kwa chilisosi kama lunch utayawezea wapi?
Uweeeeeeeeeeeeeeee....!!! usije fanya kosa hlo. Utajutia maisha yako yote yaliyobaki. Baada ya kukiri, kila utakalolifanya utahusishwa na mchepuko..!! PIGA UA, IWE MVUA LIWE JUA, KATAA KATAKATAA..!!Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.
Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.
Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Ngoja uje ukamatike ndiyo utajua ni kubeba zege au ni kama danseedansee!Kwani ni kubeba matofali?
Hapo unaingizwa kubla. Usikubali kukiri kosa kubwa la jinai kama hilo. Mwambie ilikuwa katika harakati za kibabiloni za huyo manzi hapo town lakini hakufanikiwa kukupata.Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.
Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.
Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Sawa Kamanda Uliyechoka.Kamshauri mama yako gagulo la kuvaa