Nimeambiwa nikiri kuwa nilitafuna mchepuko ili nisamehewe

Nimeambiwa nikiri kuwa nilitafuna mchepuko ili nisamehewe

Usidhubutu kuvunja codes za kiume kwa kukiri kosa, maana ukikiri kosa hapo utakuwa umepoteza points zote mkuu, wewe kataa kbsa afu demu wako mwenyewe aamue Nini Cha kufanya.
 
Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.

Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.

Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Uweeeeeeeeeeeeeeee....!!! usije fanya kosa hlo. Utajutia maisha yako yote yaliyobaki. Baada ya kukiri, kila utakalolifanya utahusishwa na mchepuko..!! PIGA UA, IWE MVUA LIWE JUA, KATAA KATAKATAA..!!
 
Ukikiri ukasamehewa nayeye atatafunwa live,usipokiri atatafunwa tu.
Jifanye umedata umuulize 'kwani hapa wapi"
"Nawewe unaitwa nani"
Kila akianza kuuliza mambo hayo
 
Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.

Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.

Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Hapo unaingizwa kubla. Usikubali kukiri kosa kubwa la jinai kama hilo. Mwambie ilikuwa katika harakati za kibabiloni za huyo manzi hapo town lakini hakufanikiwa kukupata.
 
Back
Top Bottom