Nimeambiwa nikiri kuwa nilitafuna mchepuko ili nisamehewe

Nimeambiwa nikiri kuwa nilitafuna mchepuko ili nisamehewe

USIKUBALIII hiyo ndo sheria yetu wanaume

Kaka mwanamke akiwa hana uhakika ndio salama yako ila mwanamke akipata uhakika wa wewe kukubali atakudanganya amekusamehe ila atakuwa ameingia kinyongo
Ila akiwa hana uhakika anakuwa nusunusu tena anakuwa anaamin hukufanya
 
Hapo ukikiri unaachwa na usipokiri pia unaachwa. Mkemee mwambie aache upuuzi wa kukusingizia kitu ambacho anahisi. Tena mwambie hakupendi ndo maana amekuundia sababu ya kutaka kukuacha. Nenda mbali zaidi kwa kumwambia mbona wewe mapungufu yake unayavumilia? Akiuliza mapungufu gani? Mwambie huwezi kukumbuka mapungufu ya unayempenda na hata ukikumbuka huwezi kutaja kwa kuwa unampenda. Jifanye kakukwaza mno hadi kesi ihamie kwake na kuanza kukuomba msamaha.
Meseji ya saa 11 alfajiri ikionyesha nipo na mchepuko?
 
USIKUBALIII hiyo ndo sheria yetu wanaume

Kaka mwanamke akiwa hana uhakika ndio salama yako ila mwanamke akipata uhakika wa wewe kukubali atakudanganya amekusamehe ila atakuwa ameingia kinyongo
Ila akiwa hana uhakika anakuwa nusunusu tena anakuwa anaamin hukufanya
Mkuu upo sawa. Mimi nakomaa ila mchepuko ulitamba kuwa umevuliwa chupi
 
Nina dada angu ana mumewe simu za uyo shem wangu zina passwords zote na hajawahi kuacha simu zake kizembe zembe

Sasa siku io alikua anacheza game kitandani si usingizi ukampitia dada anaingia room na vitwin vyake vya kiume vina miezi sita akaona mumewe kalala simu bado ipo kwenye game si akashika sasa na kuanza kukagua

Kakuta michepuko kama yote aka screenshot baadhi ya texts akalala, asubui alivyooenda kazini mumewe akamtumia zile screenshots bila kusema chochote

Mume piga simu kwa dada tuma texts dada kimya
Baba wa watu alivurugwa si kidogo izo texts zake za msamaha sasa anavyomsingizia uyo shetani,
Sababu kubwa ooh nilikua natafuta watoto wa kiume ila sasa ushanizalia mapacha wangu mimi nilikua mbioni kuwaacha, kwanza walikua tu wanakula ela zangu na kunidanganya na mimba za uongo

Alipigwa kiswahili na mazawadi na kuongezewa mtaji mpaka akawa mpole na ugomvi ukaisha

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Good
 
Hapo ukikiri unaachwa na usipokiri pia unaachwa. Mkemee mwambie aache upuuzi wa kukusingizia kitu ambacho anahisi. Tena mwambie hakupendi ndo maana amekuundia sababu ya kutaka kukuacha. Nenda mbali zaidi kwa kumwambia mbona wewe mapungufu yake unayavumilia? Akiuliza mapungufu gani? Mwambie huwezi kukumbuka mapungufu ya unayempenda na hata ukikumbuka huwezi kutaja kwa kuwa unampenda. Jifanye kakukwaza mno hadi kesi ihamie kwake na kuanza kukuomba msamaha.
Legend[emoji706]
 
Kosa kubwa la kiufundi kukiri kuwa umesaliti! Haitakiwi kabisa kwa mwanaume hata kama amekukuta unapeleka moto kataa kwa nguvu na maarifa yote. Hilo la SMS ungemwambia ni rafiki yangu John. Ndio aliniazima simu.
Nilikamatwa na sms za hivo, nilichokifanya nilifomati simu yake ndipo nikakomaa naye, akabakiza maneno tu
 
Kama hawa viumbe hujawajulia ni changamoto
Nilishawahi kuachwa kisa nimeambiwa unamuona huyo dada ameumbika na mimi nikachangia kweli kaumbika ,tokea hiyo siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alitaaka useme hakuzidi wewe baby.
 
Hapo ukikiri unaachwa na usipokiri pia unaachwa. Mkemee mwambie aache upuuzi wa kukusingizia kitu ambacho anahisi. Tena mwambie hakupendi ndo maana amekuundia sababu ya kutaka kukuacha. Nenda mbali zaidi kwa kumwambia mbona wewe mapungufu yake unayavumilia? Akiuliza mapungufu gani? Mwambie huwezi kukumbuka mapungufu ya unayempenda na hata ukikumbuka huwezi kutaja kwa kuwa unampenda. Jifanye kakukwaza mno hadi kesi ihamie kwake na kuanza kukuomba msamaha.
🤣 🤣 🤣 🤣 Legend
 
USIKUBALIII hiyo ndo sheria yetu wanaume

Kaka mwanamke akiwa hana uhakika ndio salama yako ila mwanamke akipata uhakika wa wewe kukubali atakudanganya amekusamehe ila atakuwa ameingia kinyongo
Ila akiwa hana uhakika anakuwa nusunusu tena anakuwa anaamin hukufanya
Ndio. Arejee kwenye mihutasari ya vikao vya nyuma. Suala hili lilishaazimiwa.
 
Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.

Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.

Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Huku ndipo ulipobobea jikite huku huku ,kumsema kila muda mbowe unajichoresha.
 
Back
Top Bottom