Nimeambiwa nikiri kuwa nilitafuna mchepuko ili nisamehewe

Nimeambiwa nikiri kuwa nilitafuna mchepuko ili nisamehewe

Mtokee na hatinya talaka. Ataanza kukubembeleza.
Fanya hivyo.
Tuna kanuni ya yetu ya pigania katika uwanja wake wa nyumbani, vita isipiganiwe uwanjani kwako.
Mfanye aanze kujitetea kwanini usimuache
 
Kama hawa viumbe hujawajulia ni changamoto
Nilishawahi kuachwa kisa nimeambiwa unamuona huyo dada ameumbika na mimi nikachangia kweli kaumbika ,tokea hiyo siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hili linanitokea mara nyingi sana nikiwa na mke wangu. Atajifanya anamsifia mwanamke aliye mbele yetu. utasikia mbalizi1 mume wangu ona yule mwanamke alivoumbika, namkata kauli kwa kumwambia kumbe mke wangu macho yako mabovu kiasi hiko! Mbona wa kawaida sana ukilinganisha na uzuri wako haenei hata robo!

Basi hapo roho yake kwatuuuuu, moyoni nabaki nacheka
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]hili linanitokea mara nyingi sana nikiwa na mke wangu. Atajifanya anamsifia mwanamke aliye mbele yetu ....... utasikia mbalizi1 mume wangu ona yule mwanamke alivoumbika , namkata kauli kwa kumwambia kumbe mke wangu macho yako mabovu kiasi hiko! Mbona wa kawaida sana ukilinganisha na uzuri wako haenei hata robo!

Basi hapo roho yake kwatuuuuu, moyoni nabaki nacheka
Mimi nilijichanganya kiukweli sema ukweli alikuwa ameumbika kuliko
 
Mimi nilijichanganya kiukweli sema ukweli alikuwa ameumbika kuliko
Hata awe mzuri kuzidi malaika, mbele ya mwanamke wako msagie kunguni wakati huo ukimsifia wa kwako [emoji1] roho yake inafarijika sana hata kwamba anajua kiuhalisia sio kweli
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.

Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.

Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Asije akakurekodi video wakati ukikiri kosa na kuomba msamaha.
 
Kama sauti ndogo sema niongeze;..Ni hivi bwana mkubwa..Usikubari kosa kivyo vyote vile..ova
 
Hapo ukikiri unaachwa na usipokiri pia unaachwa. Mkemee mwambie aache upuuzi wa kukusingizia kitu ambacho anahisi. Tena mwambie hakupendi ndo maana amekuundia sababu ya kutaka kukuacha. Nenda mbali zaidi kwa kumwambia mbona wewe mapungufu yake unayavumilia? Akiuliza mapungufu gani? Mwambie huwezi kukumbuka mapungufu ya unayempenda na hata ukikumbuka huwezi kutaja kwa kuwa unampenda. Jifanye kakukwaza mno hadi kesi ihamie kwake na kuanza kukuomba msamaha.
Senior
 
USIKUBALIII hiyo ndo sheria yetu wanaume

Kaka mwanamke akiwa hana uhakika ndio salama yako ila mwanamke akipata uhakika wa wewe kukubali atakudanganya amekusamehe ila atakuwa ameingia kinyongo
Ila akiwa hana uhakika anakuwa nusunusu tena anakuwa anaamin hukufanya
Nilipiga maza house na mtoto wake, wakati napiga mtoto yeye alikuwa job. Si akarudi ghafla, nikamwambia nilibanwa na choo nikiwa napita hapa, ndo nikaja kujisaidia hapa kwako.

Mbona unavuja jasho na unaonekana unawasiwasi, nikamuuliza na mimi ''unafikiri kukata gogo ni shughuri ndogo''

Kesi ikaishia hapo
 
Never on Earth... kama ulishakaa shikilia hapo hapo.... ukiyumba imekula kwako. Komaaa kiume hata ikiletwa picha yako ya Video ya tukio endelea kukataa katakata.... Kataaa!! Utanishukuru baadae
Kama ile ya mkono wa bansa, unaichomolea mazima
 
Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.

Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.

Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Kataaa kabisa tena umwambie anakuchonganisha na watu

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.

Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.

Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Don't dare, huo ni mtego ataondoka atakuacha[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hatuwachiti kwasababu hatuwapendi wake zetu, kuna wakati tunalazimika kufanya hivo.

Mkitukamata tumewachiti hatukiri kosa kwasababu kufanya hivo kunawaongezea maumivu nyie wake zetu badala yake tunakataa kwakuwa kufanya hivo mnapata ahueni kwa kujifariji kwamba aaah kumbe mume wangu bado ananipenda na ndio uhalisia wenyewe
Nakazia apa
 
Back
Top Bottom