Meseji ya saa 11 alfajiri ikionyesha nipo na mchepuko?Hapo ukikiri unaachwa na usipokiri pia unaachwa. Mkemee mwambie aache upuuzi wa kukusingizia kitu ambacho anahisi. Tena mwambie hakupendi ndo maana amekuundia sababu ya kutaka kukuacha. Nenda mbali zaidi kwa kumwambia mbona wewe mapungufu yake unayavumilia? Akiuliza mapungufu gani? Mwambie huwezi kukumbuka mapungufu ya unayempenda na hata ukikumbuka huwezi kutaja kwa kuwa unampenda. Jifanye kakukwaza mno hadi kesi ihamie kwake na kuanza kukuomba msamaha.
Mkuu upo sawa. Mimi nakomaa ila mchepuko ulitamba kuwa umevuliwa chupiUSIKUBALIII hiyo ndo sheria yetu wanaume
Kaka mwanamke akiwa hana uhakika ndio salama yako ila mwanamke akipata uhakika wa wewe kukubali atakudanganya amekusamehe ila atakuwa ameingia kinyongo
Ila akiwa hana uhakika anakuwa nusunusu tena anakuwa anaamin hukufanya
GoodNina dada angu ana mumewe simu za uyo shem wangu zina passwords zote na hajawahi kuacha simu zake kizembe zembe
Sasa siku io alikua anacheza game kitandani si usingizi ukampitia dada anaingia room na vitwin vyake vya kiume vina miezi sita akaona mumewe kalala simu bado ipo kwenye game si akashika sasa na kuanza kukagua
Kakuta michepuko kama yote aka screenshot baadhi ya texts akalala, asubui alivyooenda kazini mumewe akamtumia zile screenshots bila kusema chochote
Mume piga simu kwa dada tuma texts dada kimya
Baba wa watu alivurugwa si kidogo izo texts zake za msamaha sasa anavyomsingizia uyo shetani,
Sababu kubwa ooh nilikua natafuta watoto wa kiume ila sasa ushanizalia mapacha wangu mimi nilikua mbioni kuwaacha, kwanza walikua tu wanakula ela zangu na kunidanganya na mimba za uongo
Alipigwa kiswahili na mazawadi na kuongezewa mtaji mpaka akawa mpole na ugomvi ukaisha
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Legend[emoji706]Hapo ukikiri unaachwa na usipokiri pia unaachwa. Mkemee mwambie aache upuuzi wa kukusingizia kitu ambacho anahisi. Tena mwambie hakupendi ndo maana amekuundia sababu ya kutaka kukuacha. Nenda mbali zaidi kwa kumwambia mbona wewe mapungufu yake unayavumilia? Akiuliza mapungufu gani? Mwambie huwezi kukumbuka mapungufu ya unayempenda na hata ukikumbuka huwezi kutaja kwa kuwa unampenda. Jifanye kakukwaza mno hadi kesi ihamie kwake na kuanza kukuomba msamaha.
Nilikamatwa na sms za hivo, nilichokifanya nilifomati simu yake ndipo nikakomaa naye, akabakiza maneno tuKosa kubwa la kiufundi kukiri kuwa umesaliti! Haitakiwi kabisa kwa mwanaume hata kama amekukuta unapeleka moto kataa kwa nguvu na maarifa yote. Hilo la SMS ungemwambia ni rafiki yangu John. Ndio aliniazima simu.
Kwa maneno ya Shaggy 'it wasn't me'Hata nikikutwa live kwenye kinena katu sikubali asilani abadani. Ni kukataa tu mwanzo mwisho
Alitaaka useme hakuzidi wewe baby.Kama hawa viumbe hujawajulia ni changamoto
Nilishawahi kuachwa kisa nimeambiwa unamuona huyo dada ameumbika na mimi nikachangia kweli kaumbika ,tokea hiyo siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simu,atajua yeyeNamba sio simu?
Huyo mchepuko nongwa,Mkuu upo sawa. Mimi nakomaa ila mchepuko ulitamba kuwa umevuliwa chupi
Na wanawake wanakubali. Mapenzi ni aina fulani ya uchizi. Ukitumia akili ya kawaida na logic kwenye mapenzi haufiki popote.Utakuwa mwanaume wa kwanza kukiri mkuu wenzio hata uwafume wanakulana wanakataa kabisa na tukio umeona
🤣 🤣 🤣 🤣 LegendHapo ukikiri unaachwa na usipokiri pia unaachwa. Mkemee mwambie aache upuuzi wa kukusingizia kitu ambacho anahisi. Tena mwambie hakupendi ndo maana amekuundia sababu ya kutaka kukuacha. Nenda mbali zaidi kwa kumwambia mbona wewe mapungufu yake unayavumilia? Akiuliza mapungufu gani? Mwambie huwezi kukumbuka mapungufu ya unayempenda na hata ukikumbuka huwezi kutaja kwa kuwa unampenda. Jifanye kakukwaza mno hadi kesi ihamie kwake na kuanza kukuomba msamaha.
HahahahaKwa nini na ushahidi upo wazi
Ndio. Arejee kwenye mihutasari ya vikao vya nyuma. Suala hili lilishaazimiwa.USIKUBALIII hiyo ndo sheria yetu wanaume
Kaka mwanamke akiwa hana uhakika ndio salama yako ila mwanamke akipata uhakika wa wewe kukubali atakudanganya amekusamehe ila atakuwa ameingia kinyongo
Ila akiwa hana uhakika anakuwa nusunusu tena anakuwa anaamin hukufanya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata nikikutwa live kwenye kinena katu sikubali asilani abadani. Ni kukataa tu mwanzo mwisho
Huku ndipo ulipobobea jikite huku huku ,kumsema kila muda mbowe unajichoresha.Nilitafuna mchepuko flan sasa manzi wangu akagundua baada ya sms kuonesha nilikuwa mahala na mchepuko.
Akachukua simu yangu na akaupigia na kuupiga biti baya.
Ili nisamehewe nimeambiwa nikiri kosa la sivyo sipewi tena mbususu.
Ahaa makatoon banaVile tunakiri😁😁😁
View attachment 2433163
Kwa hiyo alipata 0?Vile tunakiri😁😁😁
View attachment 2433163
Jikite kwenye pombe ,mitungi,ngono na pamba ,siasa huziwezi wewe BOYA.We pimbi acha upimbi