Nimeambukizwa virusi vya UKIMWI (H.I.V)

Sijatoa ushauri wa kuponywa,
Yeye amtafute Mungu kwa bidii
Kuna utofauti wa kutafuta uponyaji na kumtafuta Mungu .
Watu wengi wanakimbilia uponyaji badala ya kumtufata Mungu
Mara useme Mungu,mara useme Yesu,

Mbona hueleweki?
 
kama ulikuwa na ratiba ya kuloweka leo, ukisoma uzi lazima ughairi
Ngwengwe noma
 
Kupima mara kwa mara ni dalili ya umalaya (kutojiamini)


Mtu asiye malaya huwa haangaiki kupima mara kwa mara

Shida kubwa ni mbususu (kilicho manyoya)
 
Hakuna tangazo ila ninawasiwasi na pesa yangu maana mzungu alishasema hakuna dawa itakayokurudisha kuwa Negative tena. nipo mkoani nawaza kuagiza maana matapeli ni wengi. Ninahamu na kuicheza hii kamali lakin ninamashaka.
Meza arv zako hakuna dawa hapo kama kweli unazo kula arv kula healthy tafuta ma detox ya ku cleanse In Figo na mwili kiujumla.
 
Ndio inapona na Nina namba ya mhusika ,yupo iringa ,njoo inbox tuelewane nikupe namba
 
Wakuu sio lazima awe MSIGWA, mwenye experience ya mponyaji yeyote wa uyu mdudu anijuze,

sometimes naWish kama siku zirudi nyuma ifike mwez wa saba nimeze PEP mapema ila ndio ivyo nimeshachelewa.

now ndio nameza kidonge cha ARV iki ni kidonge cha nane tangu nianze kumeza.

uzuri hazijaniletea side effects zozote zaid ya kuhis kizunguzungu tu cha muda mfupi but nahis ni pressure ya mapokeo
 
[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…