Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Soma text uelewe,nikifa watarithi next of kinUkifa na hiyo Corona hiyo raw materials itakua haina maana tena.bado ni mapema mno kutabiri kuwa hali itarudi Kama zamani.na hata baada ya kurudi haitakua Kama zamani so don't predict bright future atleast for Now.
Athari ya lockdown ni kubwa kuliko ugonjwa.binafsi naona kila mtu achukue tahadhari shughuli za kiuchumi ziendelee kaama kawaida.
Pole dear, hali ni mbaya...Najua jinsi ulivoipambania biashara yako, ila naamini its a matter of time mambo yatakuwa sawa,yaani hii hali imekuwa ngumu mpaka kichwa kinagoma kufikiri. Binafsi nimeamua kuiachia nature tu yenyewe iamue.Well hii thread ni kwa ajili ya wote tuliaoathiriwa kiuchumi directly na corona. Najua kila mmoja atakuwa ameathirika kwa level yake lakini nawaongelea wale waliopigwa pigo takatifu. Mfano anayefuga kuku wa kizungu atapeleka wapi na alikuwa anategemea watu wa catering kwenye mashughuli, watu wa catering na mapambo jamani eeee ndo hivo tena tupige goti tu naimani Jehovah adinai atatusikia.
Kuna wale wanaofanya biashara za importation na exportation jamani poleni sana wenzangu hiki kilio chetu sote.
Hotels, wafanyakazi na wajasi wnaotegemea watalii.
Wamiliki wa mashule jamani mbaya zaidi kipato hakuna lakini lazima ulipe mikopo ya bank na ulipie fixed costs.
Wauza uji mihogo n. K mashuleni poleni sana.
Sasa usiombe corona ikuathiri kwa kiasi kikubwa na huku una mkopo sijui bank sijui microfinance haloo hao watu wanajifanya kama vile hakuna kinachoendelea wao wanataka rejesho tu ilihali mikopo wamesitisha na pengine hata wao mishahara wamepunguziwa kwa kiasi fulani ila sasa kwa kupiga simu na kudai hao balaaa.
Kama mimi mkurugenzi na muanzilishi wa kampuni ninalia lia njaa fikiria wale wa chini yangu hali ikoje?
Shughuli za uzalishaji hakuna lakini fixed costs kama hela ya pango na ulinzi lazima nilipie natoa wapi mimi hizo ilhali sizalishi?
Binafsi nimefunga ofisi nimefunga na nyumba nimerudi kwa bi mkubwa vijana wa sasa wanasema kurudisha jezi eee ndo nisharudisha jezi hivo.
Na hii ni biashara yangu changa sana niliyoipambania usiku na mchana isimame. Ninmeipambania haswa wanaojua nini nachofanya humu na tuna mawasiliano ya karibu wanaelewa.
Lakini corona imeipenda zaidi.
Ooo kuna watu watakuja na sera zao hapa huna saving sijui akiba uncertainties bla bla nyie ndugu kama ninavyosema kujiajiri ni kugumu sana hasa kukuza biashara jamani ukisema utoe laki uweke akiba unawaza hii laki si nikinunua kitendea kazi fulani kitasaidia mauzo yaongezeke? Basi unachukua ile hela unaongeza vitendeo kazi.
Wajasiriamali na wafanyabiashara mliokuwa kwenye game mda mrefu hongereni sana na SHIKAMOOOOONI maana najua mmevuka vizingiti vingi.
Wale jirani zangu jamani nishatoka kijijini nimerudi mjini kwenye ugali wa bure mnaweza kuja tu kunisalimia.
Kwa bongo hii kukopeshana ni kujivuka kitanzi, mda wowote unaweza kufa. Hata vicoba ambavyo wengine tuliwatumia wake zetu kuwekeza na kukopa nadhani sio sehemu salama kwa sasa.
Akiba ya chakula cha kutosha na mahitaji muhimu.fedha haitakua na umuhimu tena kwenye hili janga.Poleni sana na hili litapita tu, ni vyema mkakumbuka kuweka akiba ya fedha ya kutosha maana hili janga hakuna ajuaye litaisha lini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu weupe wote wanafanikiwa kwa Mali kauli sababu ya mtaji wa uaminifu.Nataka nifanye biashara ya mabus Sina mtaji wanamfata muuza mabus anawapa, kiwandani unapewa bidhaa,bank unapewa kwa dhamana ndogo tu fanya hivo kwa mswahili uvune mabuakabisa yaani. sasa unajua sometimes haya mambo tunajitakia wenyewe. yaani kukosa uaminifu ndio unatuponza wengi lah sivyo tungekuwa twakopeshana wenyewe kwa wenyewe tuu.
Dah, mzabzab umeni-attack mbaya mzee, ilà sio vibaya, haya ni maoni yako nayaheshimu bila shida. Nimefanya hivyo kwa miaka miwili na matokeo yake kwangu ni positive. It doesn't matter where the money comes from, unawekeza 10mil, unaweza kukopa 3x ya hela uliyowekeza, unafanya miradi yako na maisha yanasonga. Kwako mke anaweza kuwa wa "kugegeda" tu, kwa wengine ni life partner, hiyo ndio tofauti yetu mkuu mzabzab.ah sasa wewe nae uliyataka hayo. yaani ukampe mke wako hela ya vicoba hiyo akili matope?
vicoba akaweke hela yake mwenyewe bwana. mie kama mume jukumu langu nikulipa ada kodi ya nyumba kulipa matibabu kulisha familia na kusaidia wakwe pale inapohitajika. hela ya mke siombi so hiyo ndio akweke kwenye vicoba vyao.
hivi nye wanaume mkishaoa mbona kama vile mnakuwa mmelogwa, mnakuwa na maamuzi ya kupuuzi sometimes au mnasahau kuwa huyo mke mlimnunua hivyo wewe ndio kibosile ndani ya nyumba?
Watu weupe wote wanafanikiwa kwa Mali kauli sababu ya mtaji wa uaminifu.Nataka nifanye biashara ya mabus Sina mtaji wanamfata muuza mabus anawapa, kiwandani unapewa bidhaa,bank unapewa kwa dhamana ndogo tu fanya hivo kwa mswahili uvune mabua
Sawa.nilidhani ungechukua tahadhari wewe uliopo hai Kwanza kabla ya hao warithi lakini sawa kila mmoja na mtazamo wake.Soma text uelewe,nikifa watarithi next of kin
Dah, mzabzab umeni-attack mbaya mzee, ilà sio vibaya, haya ni maoni yako nayaheshimu bila shida. Nimefanya hivyo kwa miaka miwili na matokeo yake kwangu ni positive. It doesn't matter where the money comes from, unawekeza 10mil, unaweza kukopa 3x ya hela uliyowekeza, unafanya miradi yako na maisha yanasonga. Kwako mke anaweza kuwa wa "kugegeda" tu, kwa wengine ni life partner, hiyo ndio tofauti yetu mkuu mzabzab.
Ajira ya serikali labda, private sector ni vilio ndugu.Ndiyo maana watu wanapenda ajira sababu hela yake hata kama ni ndogo lakini ni ya UHAKIKA.
Unaakili sanaa mimi nshakimbia kitambo mjini nalima zangu mahindi kilosa.Pole my dear na si wewe tu almost kila mtu analia na yake, hata wafanyakazi hasa hizi private sectors wako hatarini kupoteza ajira, so sad hili janga litupishe tu, mi nakaribia kurudisha mpira kwa kipa pia narudi zangu kijijini kulima .[emoji25]
Kwa bongo hii kukopeshana ni kujivuka kitanzi, mda wowote unaweza kufa. Hata vicoba ambavyo wengine tuliwatumia wake zetu kuwekeza na kukopa nadhani sio sehemu salama kwa sasa.
ah sasa wewe nae uliyataka hayo. yaani ukampe mke wako hela ya vicoba hiyo akili matope?
vicoba akaweke hela yake mwenyewe bwana. mie kama mume jukumu langu nikulipa ada kodi ya nyumba kulipa matibabu kulisha familia na kusaidia wakwe pale inapohitajika. hela ya mke siombi so hiyo ndio akweke kwenye vicoba vyao.
hivi nye wanaume mkishaoa mbona kama vile mnakuwa mmelogwa, mnakuwa na maamuzi ya kupuuzi sometimes au mnasahau kuwa huyo mke mlimnunua hivyo wewe ndio kibosile ndani ya nyumba?
So unadhani ukilima Mahindi ndio uko safe sio?Unaakili sanaa mimi nshakimbia kitambo mjini nalima zangu mahindi kilosa.
Sent using Jamii Forums mobile app