Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Wewe wajua nimezunguka taasisi 3 ili nizibe kwenye lile tatizo jibu nalokutana nalo corona.
Hata wale wadhamini tu wa kawaida nao corona imewagusa kiasi cha kwamba hakuna kitu kinachotendeka.
Naijua ile changamoto, ila chamsingi umesema utarejea mchezoni Mungu akubariki.
 
Pole Sana'a mamii,ngoja nikutumie bas kidogo walau
 
[emoji28][emoji28]
Nimecheka sana niliposoma ile habari ya watu wa uganda waliowekwa karantini hotelini. Jamaa wameanza kuchakatana humo humo hotelini wanaume wamehama vyumba wamehamia kwa wadada..!![emoji23][emoji23]
 
Amina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais hapaswi kulaumiwa kwa hili tupambane sote kwa pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niunganishe hapo kwenye limao sokoni zimekuwa deal
 
Kuna mzigo niliagiza nje , Siku napata bill of loading ndo korona nayo imeshachangamka, halafu kibaya nilikuwa nategemea kulipwa na kiwanda fulani ili nipate kuukomboa mzigo bandarini, kwa bahati mbaya hicho kiwanda kimefungwa na mchina karudi kwako kenya , yani nimechangamyikiwa had basi
Meli inaingia tarehe Kumi ila wala sioni dalili za kupata hiyo pesa , nahisi kupoteza mzigo kwa storage na kodi
Hata kama tukipona korona itatuacha na umasikini uliotopea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaonea huruma waliowekeza hela zao kwa Mr Kuku eti baada ya miezi 6 zina double mara mbili.

Sasa kama hizo hotels zimefungwa hao kuku watawauzia wapi.
 
Hii mbaya sana.
Pole mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…