Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Nimeamini jamani hakuna kitu kigumu kama wajasiriamali

Hata kwenye dhiki ya namna gani uchakataji papuchi uko palepale tu. Labda kama wewe mwenyewe utasitisha zoezi
Nimecheka sana niliposoma ile habari ya watu wa uganda waliowekwa karantini hotelini. Jamaa wameanza kuchakatana humo humo hotelini wanaume wamehama vyumba wamehamia kwa wadada..!!😂😂
 
Impact ya Corona si kwa wajasiriamali wadogo tu imepiga wakati na wakubwa . siwezi kusema mengi lakini Kama Hali itaendelea hivi ndani ya siku 30 zijazo kutoka leo tunaweza kushuhudiwa matokeo ya kushangaza katika nchi hii tangu iumbwe. Tuombe kudra za Mwenyezi Mungu InshaaAllah!
Alafu kuna mazoba yanalilia lock down,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walioniacha hoi ni watu wa mabank.
Mikopo wamesitisha kutoa kwa wateja wenye biashara zilizoathirika kwa asilimia kubwa na hata wanaobahatika kuendelea kuchukua mkopo kiwango wamepunguza.
Lakini kukaa mezani na wateja wao kufanya rescheduling kuona mkopo utalipwaje kwa kipindi hiki hawataki wanadai kwa karaha sana.
Nabaki natoa macho.
Hata wakipiga mnada ni ujinga tu unapoteza wateja na mnada unaweza usifanikiwe.
Covid 19 amekuwa hatari kuliko hatari yoyote duniani kwa sasa, wanaosema hili nalo litapita ni kweli lakini litaacha madonda makubwa na makovu yake huenda watu wakafa kwa sonono na kiharusi.

Huko bank ndio sijui na vibanda vyetu watapiga minada au itakuwaje, manake kuna wenzangu waliamua kufanya nyumba zao bond, dadeq!! Nadhani 2020 na 2021 itakuwa miaka migumu mno, sio kwa mjasiriamali tu hata mwajiriwa.
 
Poleni sana na hili litapita tu, ni vyema mkakumbuka kuweka akiba ya fedha ya kutosha maana hili janga hakuna ajuaye litaisha lini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well hii thread ni kwa ajili ya wote tuliaoathiriwa kiuchumi directly na corona. Najua kila mmoja atakuwa ameathirika kwa level yake lakini nawaongelea wale waliopigwa pigo takatifu. Mfano anayefuga kuku wa kizungu atapeleka wapi na alikuwa anategemea watu wa catering kwenye mashughuli, watu wa catering na mapambo jamani eeee ndo hivo tena tupige goti tu naimani Jehovah adinai atatusikia.

Kuna wale wanaofanya biashara za importation na exportation jamani poleni sana wenzangu hiki kilio chetu sote.

Hotels, wafanyakazi na wajasi wnaotegemea watalii.

Wamiliki wa mashule jamani mbaya zaidi kipato hakuna lakini lazima ulipe mikopo ya bank na ulipie fixed costs.

Wauza uji mihogo n. K mashuleni poleni sana.

Sasa usiombe corona ikuathiri kwa kiasi kikubwa na huku una mkopo sijui bank sijui microfinance haloo hao watu wanajifanya kama vile hakuna kinachoendelea wao wanataka rejesho tu ilihali mikopo wamesitisha na pengine hata wao mishahara wamepunguziwa kwa kiasi fulani ila sasa kwa kupiga simu na kudai hao balaaa.

Kama mimi mkurugenzi na muanzilishi wa kampuni ninalia lia njaa fikiria wale wa chini yangu hali ikoje?

Shughuli za uzalishaji hakuna lakini fixed costs kama hela ya pango na ulinzi lazima nilipie natoa wapi mimi hizo ilhali sizalishi?

Binafsi nimefunga ofisi nimefunga na nyumba nimerudi kwa bi mkubwa vijana wa sasa wanasema kurudisha jezi eee ndo nisharudisha jezi hivo.

Na hii ni biashara yangu changa sana niliyoipambania usiku na mchana isimame. Ninmeipambania haswa wanaojua nini nachofanya humu na tuna mawasiliano ya karibu wanaelewa.

Lakini corona imeipenda zaidi.

Ooo kuna watu watakuja na sera zao hapa huna saving sijui akiba uncertainties bla bla nyie ndugu kama ninavyosema kujiajiri ni kugumu sana hasa kukuza biashara jamani ukisema utoe laki uweke akiba unawaza hii laki si nikinunua kitendea kazi fulani kitasaidia mauzo yaongezeke? Basi unachukua ile hela unaongeza vitendeo kazi.

Wajasiriamali na wafanyabiashara mliokuwa kwenye game mda mrefu hongereni sana na SHIKAMOOOOONI maana najua mmevuka vizingiti vingi.

Wale jirani zangu jamani nishatoka kijijini nimerudi mjini kwenye ugali wa bure mnaweza kuja tu kunisalimia.

yaani hapa ndipo unapojua kuwa mabenki ni wezi tuu.....kwa sababu katika hali kama hii ya sasa wanatakiwa kuwa na ufikirio maana kushindwa kurudisha mkopo kwa muda huu sio kutokana na uzembe wa mkopaji bali kutokana na unforeseen circumstances ambazo zipo nje ya uwezo wa mwanadamu yoyote yule.
 
Hii ni kweli naona dispensary ya mtaani haoa kuna foleni kubwa hasa asubuhi na jioni.
Viwanda vinavyozalisha vifaa vya tiba na product mbalimbali za afya ndio zinazoingiza sana faida kwa Sasa
Na bado wataendelea kufaidika sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka sana niliposoma ile habari ya watu wa uganda waliowekwa karantini hotelini. Jamaa wameanza kuchakatana humo humo hotelini wanaume wamehama vyumba wamehamia kwa wadada..!!😂😂
Nashangaa huyo jamaa anaesema hilo suala haliwezekani
 
Well hii thread ni kwa ajili ya wote tuliaoathiriwa kiuchumi directly na corona. Najua kila mmoja atakuwa ameathirika kwa level yake lakini nawaongelea wale waliopigwa pigo takatifu. Mfano anayefuga kuku wa kizungu atapeleka wapi na alikuwa anategemea watu wa catering kwenye mashughuli, watu wa catering na mapambo jamani eeee ndo hivo tena tupige goti tu naimani Jehovah adinai atatusikia.

Kuna wale wanaofanya biashara za importation na exportation jamani poleni sana wenzangu hiki kilio chetu sote.

Hotels, wafanyakazi na wajasi wnaotegemea watalii.

Wamiliki wa mashule jamani mbaya zaidi kipato hakuna lakini lazima ulipe mikopo ya bank na ulipie fixed costs.

Wauza uji mihogo n. K mashuleni poleni sana.

Sasa usiombe corona ikuathiri kwa kiasi kikubwa na huku una mkopo sijui bank sijui microfinance haloo hao watu wanajifanya kama vile hakuna kinachoendelea wao wanataka rejesho tu ilihali mikopo wamesitisha na pengine hata wao mishahara wamepunguziwa kwa kiasi fulani ila sasa kwa kupiga simu na kudai hao balaaa.

Kama mimi mkurugenzi na muanzilishi wa kampuni ninalia lia njaa fikiria wale wa chini yangu hali ikoje?

Shughuli za uzalishaji hakuna lakini fixed costs kama hela ya pango na ulinzi lazima nilipie natoa wapi mimi hizo ilhali sizalishi?

Binafsi nimefunga ofisi nimefunga na nyumba nimerudi kwa bi mkubwa vijana wa sasa wanasema kurudisha jezi eee ndo nisharudisha jezi hivo.

Na hii ni biashara yangu changa sana niliyoipambania usiku na mchana isimame. Ninmeipambania haswa wanaojua nini nachofanya humu na tuna mawasiliano ya karibu wanaelewa.

Lakini corona imeipenda zaidi.

Ooo kuna watu watakuja na sera zao hapa huna saving sijui akiba uncertainties bla bla nyie ndugu kama ninavyosema kujiajiri ni kugumu sana hasa kukuza biashara jamani ukisema utoe laki uweke akiba unawaza hii laki si nikinunua kitendea kazi fulani kitasaidia mauzo yaongezeke? Basi unachukua ile hela unaongeza vitendeo kazi.

Wajasiriamali na wafanyabiashara mliokuwa kwenye game mda mrefu hongereni sana na SHIKAMOOOOONI maana najua mmevuka vizingiti vingi.

Wale jirani zangu jamani nishatoka kijijini nimerudi mjini kwenye ugali wa bure mnaweza kuja tu kunisalimia.
Nikipindi kigumu sana kiuchumi. Na bado hali itaendelea kukaza ko hata ambao hawajaathirika wachukue tahadhali. Lakini sidhani kama kulalamika kusikitika na kulialia inaweza tusaidia. Badala yake tutumie akili na tuumize vichwa kweli kweli kutafta upenyo wakutokea. Mwenyezi Mungu hajawahi kumuonea mtu ko matukio yote yanayotutokea tunayastahili . Huenda kuna uwezo flani tunajengewa,huenda kuna somo tunapewa,huenda kuna watu tunatengwa nao pia huenda tunaandaliwa kuwa majasiri na watu makini kesho. Kwahiyo ndugu zangu tuumize vichwa vyetu kwelikweli huku tukimuomba mungu atupe suluhisho la changamoto tunazopitia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ni kuomba serikali itoe tamko aise.
Hivi BOT na CRB wana kazi gani? Ujue nimeshangaa sana nilitegemea uchumi kusimama walau banks na hizi financial institutions zitakaa chini na wateja wao kujua wanafanyaje.
Cha ajabu wanadai Chao tena full na ukimaliza hukopeshwi tena.
Shule za binafsi mishahara zitashindwa kulipa..
Benki zinatakiwa kusitisha kudai vinginenevyo hatari sana
 
Kwa kweli sisi wakurugenzi uchwara tunaisoma no.
Pole sana mkuu kwa mnada.
Mimi nimekimbia ofisi juz kat wamepiga mnada furniture za ofis yangu wateja wangu wengi ni mashule na makampuni ya utalii
Pia niliagiza mizigo china imekwama uko tangu february ndugu mteja anataka refund alaf mkulungwa niko juu ya mawe balaa
Yaan kua CEO wa vikampuni uchwara ni stress balaa kuitwa tapeli nje nje yaan
 
Na hao kuku wakisasa wanavokula Sasa then ukose soko aisee hii corona iishe haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wanakula zaidi ya mchwa.
Kuna siku alikosa hela ya gunia kuwananunulia yakaanza kupiga kelele.
Akayaacha hapo akaja kwangu kulala ndo ikaja akili ya kuwachinja.
 
Back
Top Bottom