Nimeamini Kikulacho ki nguoni mwako na mchawi hatoki mbali

Nimeamini Kikulacho ki nguoni mwako na mchawi hatoki mbali

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Mara nyingi unaweza kudhani kwamba upo salama na umezungukwa na watu wanaokutakia mafanikio na kumbe ni kinyume chake.

Kuna mtu pale Halmashauri nilimuomba nimuweke kwenye CV yangu kama referee akakubali.

Nikampa rafiki yangu namba yake ampigie ajitambulishe kama HR officer wa shirika fulani na amuombe taarifa zangu kwani anataka kunipa nafasi ya kujitolea kwenye Hilo shirika, tukaweka loud speaker.

Huyo Referee wangu wa Halmashauri akaanza kumuambia; huyo kijana hakufai, kwanza Hana communication skills na punctuality nzuri. Tafuta vijana wengine. Ameongea mengi mazito ya negative kuhusu Mimi. Bila yeye kujua kwamba ni Mimi😅🖐🏿

Unavyodhani ndivyo sivyo, sivyo ndivyo 🎶🎶🎚️🎛️.. Prof Jay ft Chameleon
 
Tunaishi kwa kutegemeana ila ni kosa kubwa na la kiufundi kuwaamini wanadamu, yanayofanyika nyuma ya pazia na watu unaowaamini yanatisha,...!! Ukiachilia mbali wazazi na Kwa mbali watoto wakifuatiwa kidogo na wenzi, aisee the rest hutakiwi kupoteza hata asilimia 30 ya uaminifu kwao
 
Tunaishi Kwa kutegemeana Ila ni kosa kubwa na la kiufundi kuwaamini wanadamu , yanayofanyika nyuma ya pazia na watu unaowaamini yanatisha ,...!! Ukiachilia mbali wazazi , na Kwa mbali watoto wakifuatiwa kidog na wenzi , aisee the rest hutakiwi kupoteza hata asilimia 30 ya uaminifu kwao
Toa ushauri amweke Nani kama reference
 
Mara nyingi unaweza kudhani kwamba upo salama na umezungukwa na watu wanaokutakia mafanikio na kumbe ni kinyume chake.

Kuna mtu pale Halmashauri nilimuomba nimuweke kwenye CV yangu kama referee akakubali.

Nikampa rafiki yangu namba yake ampigie ajitambulishe kama HR officer wa shirika flani na amuombe details zangu kwani anataka kunipa nafasi ya kujitolea kwenye Hilo shirika, tukaweka loud speaker.

Huyo Referee wangu wa Halmashauri akaanza kumuambia; huyo kijana hakufai, kwanza Hana communication skills na punctuality nzuri. Tafuta vijana wengine. Ameongea mengi mazito ya negative kuhusu Mimi. Bila yeye kujua kwamba ni Mimi[emoji28][emoji1616]

Unavyodhani ndivyo sivyo, sivyo ndivyo [emoji445][emoji445][emoji2425][emoji2426].. Prof Jay ft Chameleon
Umekuwa inspired na ushauri wa Uzi fulani humu au ni wewe uliuleta pia
 
Mara nyingi unaweza kudhani kwamba upo salama na umezungukwa na watu wanaokutakia mafanikio na kumbe ni kinyume chake.

Kuna mtu pale Halmashauri nilimuomba nimuweke kwenye CV yangu kama referee akakubali.

Nikampa rafiki yangu namba yake ampigie ajitambulishe kama HR officer wa shirika flani na amuombe details zangu kwani anataka kunipa nafasi ya kujitolea kwenye Hilo shirika, tukaweka loud speaker.

Huyo Referee wangu wa Halmashauri akaanza kumuambia; huyo kijana hakufai, kwanza Hana communication skills na punctuality nzuri. Tafuta vijana wengine. Ameongea mengi mazito ya negative kuhusu Mimi. Bila yeye kujua kwamba ni Mimi[emoji28][emoji1616]

Unavyodhani ndivyo sivyo, sivyo ndivyo [emoji445][emoji445][emoji2425][emoji2426].. Prof Jay ft Chameleon
Kuna mtu wa karibu nilikuwa namtafutia Kaz sasa ikapatikana ila kaka yake akaomba aongee na MTOA Kaz eeeehe ilikuwa hatare.

Tafuta mwingine huyu ni mlevi.......

Ila wanajitetea kwa kusema ni Bora ueleze ukweli Ili usilalamikiwe akiharibu kazi.
Wadau mnaona ni sawa?

Acheni kabisa wadau
Kwa hiyo na mtoa mada ni vile vyile
 
Mimi jamaa yangu wa karibu kabisa niliemwamini nilimdokeza taarifa nyeti kabisa ya kifedha ambayo ilikuwa inaenda kula kwake na boss hee asienda kunichoma kwa boss boss akaniita kwenye kikao Cha Kama kunituhumu hivi na Hilo jopo lake namimi kwa kiburi sikwenda nampka Leo hawaamini trend ya kazi ilivyodorora aisee usimuamini mtu.
 
Tunaishi Kwa kutegemeana Ila ni kosa kubwa na la kiufundi kuwaamini wanadamu , yanayofanyika nyuma ya pazia na watu unaowaamini yanatisha ,...!! Ukiachilia mbali wazazi , na Kwa mbali watoto wakifuatiwa kidog na wenzi , aisee the rest hutakiwi kupoteza hata asilimia 30 ya uaminifu kwao
I agree
 
Mimi jamaa yangu wa karibu kabisa niliemwamini nilimdokeza taarifa nyeti kabisa ya kifedha ambayo ilikuwa inaenda kula kwake na boss hee asienda kunichoma kwa boss boss akaniita kwenye kikao Cha Kama kunituhumu hivi na Hilo jopo lake namimi kwa kiburi sikwenda nampka Leo hawaamini trend ya kazi ilivyodorora aisee usimuamini mtu.
🙄😭
 
Back
Top Bottom