coolboyjden
JF-Expert Member
- Apr 10, 2021
- 286
- 396
dah sio poa
umenipa akili kuna mtu nitamtesi na yy atatoa taarifa zipo kuhusu mm
jamaa yangu mmoja kwa ss uko vizur kweny taasisi moja hvi nilimuomba nimuweke reference kweny cv yangu
alikuwa mtu wamashindano sn anaweza ukazani mwana kumbe akakugeuka ukajuta kwakwel
umenipa akili kuna mtu nitamtesi na yy atatoa taarifa zipo kuhusu mm
jamaa yangu mmoja kwa ss uko vizur kweny taasisi moja hvi nilimuomba nimuweke reference kweny cv yangu
alikuwa mtu wamashindano sn anaweza ukazani mwana kumbe akakugeuka ukajuta kwakwel