Nimeamini Kikulacho ki nguoni mwako na mchawi hatoki mbali

Nimeamini Kikulacho ki nguoni mwako na mchawi hatoki mbali

Mimi kuna mtumishi mwenzangu tumeajiriwa pamoja tumeishishi kota 1 toka tukiwa hatuna wake..tunapika nakula pamoja mimi nikapata kamkopo nikanunua nyumba..niliponunua napakana na kiwanja hakijajengwa nikamkaribisha[emoji849]mwenye kiwanja alitaka niuzia lkn nikaona aah nimshirikishe rafiki yangu et wafaida akanunua..akajenga akahamia yeye na familia yake..baada ya miaka hivi nikapata shida kiafya[emoji21]nikawa kazini naenda mara 1x1 hee boss akawa ananitukana mbele za watu kama dhihaka vile kumbe rafiki yangu ndio alikuwa anapekeka maneno kwa boss..lakini nikamsamehe kulikuwa kuna kaeneo pembeni tena nikaongeza kununua ooh sasahivi hatuongeii...
 
Mimi jamaa yangu wa karibu kabisa niliemwamini nilimdokeza taarifa nyeti kabisa ya kifedha ambayo ilikuwa inaenda kula kwake na boss hee asienda kunichoma kwa boss boss akaniita kwenye kikao Cha Kama kunituhumu hivi na Hilo jopo lake namimi kwa kiburi sikwenda nampka Leo hawaamini trend ya kazi ilivyodorora aisee usimuamini mtu.
Hata mimi iliwahi nitokea situation ya hivi, kuna jinga moja tena ni jinga kweli kweli. Yaani nilitengeneza mchongo wangu mwenyewe ambao haukuwa na effect kwa yeyote kiofisi,

sasa lile jinga nilikuwa sijajua kama ni jinga la kutupwa nikalielezea ule mchongo na jinsi ulivyonisaidia kutengeneza pesa iliyonitoa sehemu ngumu kidogo, ebwana eeh imepita kama miezi 3 hivi mi nshasahau kabisa ule mchongo

Tupo kwenye kikao cha utendaji cha kawaida, sasa kuna watu walikuwa wana mikopo kwenye ile taasisi pamoja na lile jinga, hamadi jamaa anasema halipi mpaka na mimi nilipe ile pesa niliyomweleza almost three months back.

Likasema mchongo wote pale mbele ya wadau, unajua tena watu walivyona wivu! Nilijikuta nalitukana lile jinga mbele ya mkuu wa kazi.

Can u imagine huyu ni mtu aliyekuwa karibu yangu kinoma mshikaji ile kinoma, mvivu sana, anajua kutega sana yote haya nilikuwa namzibia mashimo! Kazi zake nyingi nilikuwa namsaidia lakini alikuja kunigeuka kisa dili la milion.
 
Hata mimi iliwahi nitokea situation ya hivi, kuna jinga moja tena ni jinga kweli kweli. Yaani nilitengeneza mchongo wangu mwenyewe ambao haukuwa na effect kwa yeyote kiofisi,

sasa lile jinga nilikuwa sijajua kama ni jinga la kutupwa nikalielezea ule mchongo na jinsi ulivyonisaidia kutengeneza pesa iliyonitoa sehemu ngumu kidogo, ebwana eeh imepita kama miezi 3 hivi mi nshasahau kabisa ule mchongo

Tupo kwenye kikao cha utendaji cha kawaida, sasa kuna watu walikuwa wana mikopo kwenye ile taasisi pamoja na lile jinga, hamadi jamaa anasema halipi mpaka na mimi nilipe ile pesa niliyomweleza almost three months back.

Likasema mchongo wote pale mbele ya wadau, unajua tena watu walivyona wivu! Nilijikuta nalitukana lile jinga mbele ya mkuu wa kazi.

Can u imagine huyu ni mtu aliyekuwa karibu yangu kinoma mshikaji ile kinoma, mvivu sana, anajua kutega sana yote haya nilikuwa namzibia mashimo! Kazi zake nyingi nilikuwa namsaidia lakini alikuja kunigeuka kisa dili la milion.
siku nyingine vyanzo vyabmapato usiviseme hatabkwa mkeo.kufa navyo hata akaunt unayoficha hela piga kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi unaweza kudhani kwamba upo salama na umezungukwa na watu wanaokutakia mafanikio na kumbe ni kinyume chake.

Kuna mtu pale Halmashauri nilimuomba nimuweke kwenye CV yangu kama referee akakubali.

Nikampa rafiki yangu namba yake ampigie ajitambulishe kama HR officer wa shirika flani na amuombe details zangu kwani anataka kunipa nafasi ya kujitolea kwenye Hilo shirika, tukaweka loud speaker.

Huyo Referee wangu wa Halmashauri akaanza kumuambia; huyo kijana hakufai, kwanza Hana communication skills na punctuality nzuri. Tafuta vijana wengine. Ameongea mengi mazito ya negative kuhusu Mimi. Bila yeye kujua kwamba ni Mimi😅🖐🏿

Unavyodhani ndivyo sivyo, sivyo ndivyo 🎶🎶🎚️🎛️.. Prof Jay ft Chameleon
😂😂watu wa bad hivi
 
Hata mimi iliwahi nitokea situation ya hivi, kuna jinga moja tena ni jinga kweli kweli. Yaani nilitengeneza mchongo wangu mwenyewe ambao haukuwa na effect kwa yeyote kiofisi,

sasa lile jinga nilikuwa sijajua kama ni jinga la kutupwa nikalielezea ule mchongo na jinsi ulivyonisaidia kutengeneza pesa iliyonitoa sehemu ngumu kidogo, ebwana eeh imepita kama miezi 3 hivi mi nshasahau kabisa ule mchongo

Tupo kwenye kikao cha utendaji cha kawaida, sasa kuna watu walikuwa wana mikopo kwenye ile taasisi pamoja na lile jinga, hamadi jamaa anasema halipi mpaka na mimi nilipe ile pesa niliyomweleza almost three months back.

Likasema mchongo wote pale mbele ya wadau, unajua tena watu walivyona wivu! Nilijikuta nalitukana lile jinga mbele ya mkuu wa kazi.

Can u imagine huyu ni mtu aliyekuwa karibu yangu kinoma mshikaji ile kinoma, mvivu sana, anajua kutega sana yote haya nilikuwa namzibia mashimo! Kazi zake nyingi nilikuwa namsaidia lakini alikuja kunigeuka kisa dili la milion.
[emoji2][emoji2][emoji3]Nimeimagine ulivyopigwa bumbuazi wakati jamaa anamwaga point zako dah...unaeza mpiga na stapler
 
Mara nyingi unaweza kudhani kwamba upo salama na umezungukwa na watu wanaokutakia mafanikio na kumbe ni kinyume chake.

Kuna mtu pale Halmashauri nilimuomba nimuweke kwenye CV yangu kama referee akakubali.

Nikampa rafiki yangu namba yake ampigie ajitambulishe kama HR officer wa shirika flani na amuombe details zangu kwani anataka kunipa nafasi ya kujitolea kwenye Hilo shirika, tukaweka loud speaker.

Huyo Referee wangu wa Halmashauri akaanza kumuambia; huyo kijana hakufai, kwanza Hana communication skills na punctuality nzuri. Tafuta vijana wengine. Ameongea mengi mazito ya negative kuhusu Mimi. Bila yeye kujua kwamba ni Mimi😅🖐🏿

Unavyodhani ndivyo sivyo, sivyo ndivyo 🎶🎶🎚️🎛️.. Prof Jay ft Chameleon
🤣🤣🤣 Maana ya referee ni kuelezea ukweli kuhusu wewe.hivyo huyo jamaa amesema ukweli.cha kufanya ni wewe kubadilika.Ila pia na wewe siyo mtu mzuri si unaona umeanza kumchunguza
 
Mara nyingi unaweza kudhani kwamba upo salama na umezungukwa na watu wanaokutakia mafanikio na kumbe ni kinyume chake.

Kuna mtu pale Halmashauri nilimuomba nimuweke kwenye CV yangu kama referee akakubali.

Nikampa rafiki yangu namba yake ampigie ajitambulishe kama HR officer wa shirika flani na amuombe details zangu kwani anataka kunipa nafasi ya kujitolea kwenye Hilo shirika, tukaweka loud speaker.

Huyo Referee wangu wa Halmashauri akaanza kumuambia; huyo kijana hakufai, kwanza Hana communication skills na punctuality nzuri. Tafuta vijana wengine. Ameongea mengi mazito ya negative kuhusu Mimi. Bila yeye kujua kwamba ni Mimi😅🖐🏿

Unavyodhani ndivyo sivyo, sivyo ndivyo 🎶🎶🎚️🎛️.. Prof Jay ft Chameleon
Sasa kama huna punctuality ulitaka adanganye? Referee maana yake nini kwani? Infact ukitaka kumuweka mtu referee hupaswi hata kumuomba wala kumjulisha, wewe muweke tu, akipigiwa aseme ukweli, basi.
 
Back
Top Bottom