Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Uchambuzi mzuri Mkuu!
Sasa hebu tueleze kiundani mnamo Oktoba 7, 2023 nini hasa kilitokea?!!
Sasa hebu tueleze kiundani mnamo Oktoba 7, 2023 nini hasa kilitokea?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadhi ya wajumbe humu JF ukiigusa Israel anaona umeigusa imani yake. Mwengine ukiigusa Saudi Arabia anaona umeigusa imani yake pia. Ili kwake kujipoza ndipo atakutolea maneno ya kejeli/kebehi.Kwa sababu ni weupe, ndio maana nimeelezea kwa kirefu, kwa sababu wengi huu mgogoro hawaujui, unaandika hoja mtu anakuita mvaa kobazi, mvaa dera, kichwani mweupe, haelewi dunia inaendaje ye kashiba wali na maharagwe anaona aandike anachoona.
Swali zuri mkuu 😀Kama ikiwa Israel anamepatiwa nafasi hii, ushirikiano baina yake na Urusi itakuwaje?
Kama Urusi iliingia Syria ili kunusuru uchumi wake, na hata kwa sasa bado ananufaika pakubwa kwa kuwa nchi za Ulaya zinanunua kwa wingi gesi ya Urusi kupitia kwa India.
Urusi tunamuweka kwenye nafasi gani katika hili? Uhusiano wake na Israel utakuwaje?
Hivi ni maisha magumu au watu mmegoma kufikiri?Aliyefaulu kusoma hili gazeti au kitabu cha mleta mada atupatie mukhtasari, kwanza atujuze kama ni mvaa kobazi ili nijue namjibuje.
Yaani wavaa kobazi akili mlinyimwa, mshambulie na kuua watoto wa Wayahudi kisha mchukue wengine mateka halafu mkipigwa kibano mnaanza kuandika andika nyuzi ndefu sijui mafuta sijui pumba gani.
Na mtapigwa tu, kama kweli pana mafuta hapo, mliacha kuyatumia mkaona muwekeze kwenye ugaidi wa dini yenu.
Kabisa mkuu..Baadhi ya wajumbe humu JF ukiigusa Israel anaona umeigusa imani yake. Mwengine ukiigusa Saudi Arabia anaona umeigusa imani yake pia. Ili kwake kujipoza ndipo atakutolea maneno ya kejeli/kebehi.
Bw. James Comey huwa anasema mada kama hizi ndipo utakapoona uwezo wa akili wa watanzania.
Acha habari za kufikirika.......kama sababu ni hiyo kwanini -----October 7 😀 😀Hata kama mateka wakiachiwa, nimeelezea hapo, lengo si mateka wala udini au ulinzi wa Israel, sababu kubwa ni gas.
Kabisa mkuu.Huyo ni shoga na chizi hapo hapo huwa hajitambui kabisa yeye kazi yake kutafuta habari Israel kapiga sijui Iran imepigwa ana mapenzi na Israeli sababu ya ushoga wake.
Nikirudi kwenye thread, ni kweli wamegundua Gaza kuna mafuta na gas nyingi sana, kwa hio US na Israel wanataka kuwaondoa wa Palestine hapo ili Israel achukue hio Oil na Gas.
Israel anawambia raia wa Gaza nendeni sehemu flani kuna usalama huko, wakienda Israel anafanya genocide afu anasema target ilikuwa kuna fununu kamanda wa Hamasi alikuwa pale, yote ni uwongo mtupu.
Mkuu unaamini Trump akirudi madarakani itakuwa nafuu kwa Wapalestina?...Trump atakapoingia madarakani vita ya Gaza itakwisha, Russia itaendelea na biashara yake ya kuuza gas Ulaya, unaweza usiamini lakini ndivyo ilivyo, ndio maana jamaa wameanza kumlenga jemedari Trump afe, hata US military complex industry US hawataki Trump aendelee kupumua, kina Lockheed, Northrop, Boeing n.k kwa ujumla mashirika yanayojihusisha na biashara ya silaha hawataki kusikia kuna kiumbe anaiwa Trump.
Nipo nasubiri jibu lakeUchambuzi mzuri Mkuu!
Sasa hebu tueleze kiundani mnamo Oktoba 7, 2023 nini hasa kilitokea?!!
Ikiwa akili ama hekima kubwa ni KUAMINI Gaza kuna mafuta yanayowatoa udenda Waisrael basi hiyo akili mimi sihitaji.Nafikiri itakuwa ni bora ukiifuta hii!
Umeandika ujinga mkubwa sana!
Russia hawezi kukubali ujenzi wa bomba kutoka Levant mashariki ya kati ilipo Gaza, Egypt na Israel kwenda Ulaya kum challenge. Hivyo ujenzi wa hilo bomba ungesimama na vita ya Israel na Gaza ingesimama.Mkuu unaamini Trump akirudi madarakani itakuwa nafuu kwa Wapalestina?...
Umesahau namna alivyoutambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel mpaka kuhamishia ubalozi wa Marekani huko, jambo liliowakera Wapalestina?....
Au nafuu unayoiona wewe ni vita kusimama tu ?
Duuuh!Ikiwa Insu ni Mafuta ama Gesi IDF ingelikuja kuteka Zanzibar ama Tanzania kwa Raia ambao hawajui hata kurusha jiwe.
Haina shida mkuu, nilikua najaribu kuelezea ni sababu kuu ya vita inayoendelea.Uzi wako mrefu kaka,nimeishia kati.
Ila hata hivyo Palestina isingeweza nufaika kirahisi na hiyo rasilimali ilhali wao bado sio taifa kamili Yani hawatambuliki.
Wanatambulika kama occupied territory.
Wangekua taifa kamili wangelifanya kama walivyofanya Lebanon kupitia Hizbollah
Kuna mpaka wa maji baina ya Israel na Lebanon una utajiri wa gesi na mafuta pia,kipindi vita ya 2006 inaisha Israel ilitangaza kuihodhi hiyo mipaka ila Hizbollah waliweka mgomo hakuna gesi wala mafuta yatakayovunwa, mwaka huu mwanzoni ndio Israel walikubali kukaa mezani kupatana kuhusu ule mpaka Lebanon kachukua eneo na Israel akachukua eneo.
Palestina itafute TOTAL SOVEREIGNTY kwanza mengine ndio yafuate.
Huyu akili zake kama za bundi sasa Israel atoke westbank aje east afrca kweli??Umefikiria wakati unaandika huu ujinga wako??Ikiwa Insu ni Mafuta ama Gesi IDF ingelikuja kuteka Zanzibar ama Tanzania kwa Raia ambao hawajui hata kurusha jiwe.
Inaelekea kwa sababu miezi miwili nyuma kabla ya Oct 7, USA ilianza ujenzi wa kambi pale Negev Israel.kaka
naona shambulio la oktoba 7 lilikuwa la kimkakati huenda kulikuwa na mamluki wa kiyahudi kuanzisha vita au shambulizi.
nchi za asia wanahasirika vibaya mno.