Nimeamini Kinachopiganiwa Gaza Ni Mafuta Na Gas

Nimeamini Kinachopiganiwa Gaza Ni Mafuta Na Gas

leo hii mmesahau kuwa walipewa ofa ya kuachia mateka ili idf wasivamie Gaza ? unajuwa mmekuwa kama wehu , jambo lipo wazi ila mnang'ang'ania ujinga ili kujifurahisha , hao HAMAS ni wapumbav , hata Nyerere alipigania Uhuru lakin hakuhatarisha maisha ya raia wanyonge kwa kuchukua hatua zisizo na matumanini ya kufanikiwa bali ni kupelekea vifo vya raia tu
Am less concerned....mtoa Uzi ameleta mada yake huku akijiondoa kwenye ishu za kidini.
 
Wewe ndiye chizi mwingine hapo unaandika taarabu, uzi hujasoma , aisee sihitaji wachangiaji, na sio kwamba ukisoma mi nitaingiza pesa hii sio youtube.

Hata hoja zangu huwezi kujibu. relax mzee.
Huna unachokijua kuhusu mambo yanayoendelea duniani, sana sana unajua kusema mvaa kobazi..
Hakuna hoja uliondika zaidi ya upumbavu. Israel ndio aliwatuma magaidi hamas kushambulia, kuuwa na kuteka raia wasiokua na hatia?!
Kama ni hivyo basi Netanyahu na Hamas + Iran wanashikirikiana ili kuwatesa raia wa Palestina na Israel
 
mchambuz unajitambua ? wameambiwa watoke halaf hawatoki bado unalaumu athari za ubishi wao kuwa ilipaswa waachwe tu ili Hamas waendelee kupumua kupitia hao raia wabishi , nmeona vita kadhaa ( sio kusimuliwa kama wewe ) , sijawai ona vita upande mmoja unawapa hadi eneo salama kwa raia wema ambapo mashambulizi hayatofika , mjifunze hata kuona ustaraab wa Idf , hao raia wabish walishajitoa kufa sababu kwao wanaona hamas ni bora kuliko uhai wao , wao wanaona myaudi haki yake ni kifo na hastahiri kuudhibiti ugaidi wa hamas ambao umekuwa unatumia misaada ya raia kwa kujihimarisha wao kivita

MWISHO WA SIKU , WOTE HAPA JUKWA TULISOMA , KUONA NA KUSIKIA OMBI LA IDF KUACHIWA KWA MATEKA ILI WASIVAMIE GAZA , ILA HAMAS , WAARABU NA JAMII YA KIISLAM ILISEMA IDF WANAOGOPA KUINGIA GAZA SABABU WATACHINJWA KAMA KUKU LICHA YA KUPITIA VIPIGO KADHAA ILA WAARAB NA JAMAII ZA KIISLAM ZIMEENDELEA KUTOWAJALI WANA GAZA KWA KUWAFANYA KANA CHAMBO KUPIMA UWEZO WA IDF ,SASA TULIEN WATU WAKAGULIWE LINDAH
Lgbtq+ bila kuutja uislamu na waislam pamoja na michezo yenu hua hamujisikii raha
 
Kwanini Hamas waliwashambulia Israel wakiwa kwenye sherehe zao .. watajuta sana na bado
Endelea tu kuamini walioshabulia ni hamas, na hata kama ni hsmas basi wapo sahihi, mtu ameondokewa na wazazi wake na ndugu zake kwa mabomu ya mazayuni so ataachaje kujiunga na hamas alipize kisasi, ardhi ni yao halafu uwanyanyase kiasi hicho!

So endelea kucheka na kufurahia mazayuni wanakifanya, ila siku unachomoka ndio utacheka vizuri
 
Wewe hakuna unachofahamu hapo na inaonekana huna shughuli yoyote ya kufanya ndio maana unapoteza muda kuandika habari ndefu isiyo na maana.

Hivi hapo kwenye kijiwe chenu hamjui kwamba kwa sasa Marekani ndio nchi ya kwanza duniani kwa uzalishaji wa mafuta au bado mnafikiri ni Saudi Arabia.
Haina maana kwako, kwetu sisi wenye imani na huruma ina maana sana
 
nyiny watu mna matatizo ya akili , oct 2023 mlikuwa mnashangilia upuuz wa Hamas , leo mnakuja na stori za Mafuta na Gas , lini mtaanza zitumia akili zenu ?

Zaidi ya miaka 70 palestina wanauliwa huku wakiendelea kupigania ardhi yao inayokaliwa kimababu na walowezi, na ukiangalia idadi ya mazayuni waliouawa ni wachache sana sana ukilinganisha na wapalestina, ila mnajitoa ufahamu. All in All mmejawa chuki sana, ni watu msiokua na huruma.
 
Uzi mrefu nilikua nataka kuishia kati ila kila nikishuka nakuta nondo juu ya nondo nikaumaliza
Ila nahisi umenizidi elimu huu uzi ingawaje kwa uchache wa akili zangu sioni kama DT atamaliza madhila ya wapalestine hasa dhidi ya Israel bora ingekua dhidi ya Misri ama Syria angeweza kumaliza ingawaje DT kajipambanua sio mtu wakutabirika kabisaaaa
Pia Israel analengo mama ndio hilo lakuwahamisha wapalestine ila kama anashirikiana na Misri kwanini Misri asifungue kivuko cha Rafah
Inawezekana Misri ndie anaendesha vita hii.. yaani hata wakimbizi hawataki hata kuwasikia.. Gazan hawaaminiki pengine... au asili ya arabs wa Gaza ni Misri pia am sure hata mateka wengi wapo upande wa Misri.
Maana uhakika Rafah ikifunguliwa malaki kama sio mamilioni kama sio wapalestine wote wataihama ghaza kwenda Misri
Pia Israel inajua kabisa kama haiwezi kupigana na hamas nandio maana mashambulio yake yooote anakua analenga raia moja kwa moja yaani ili waihame gaza
Ila sioni israel ikiifanikiwa kwenye hilo labda(ra) kama kivuko cha rafah kitafunguliwa
Waarabu wabaya sana hasa jordan na misri linapokuja suala la wapalestina ndio maana Mohammad Morsi hawakumuacha salama
Kama suala lipo hivyo Russia anafanyaje kama kaweza kwa Syria atawezaje kwa Israel maana nna imani hili atakua analijua
Ingawaje wazungu wote awe nani awe nani linapokuja suala la Israel hua lao moja usiwaamini na wala hawaaminiki
Issue ya Israel kwa yeyote Ardhi ni mali ya Waisrael.. and tokea Israel adai uhuru ktoka kwa Uingeleza arabs populations hawakudai huo uhuru and ndio wanadai ni pao pote maeneo ya Westbank judea and samaria kulikuwa na jews ambao walikuwepo karne zote na arabs walifanikiwa kuwa genocide wote wa upande wao...

And mapatano yote ya UN Arabs waliyakataa tokea walipotengenishwa and vita ya kuangamiza Jews ilianza na kusndwa vibaya kwa arabs sasa price ya kutaka kuua ni kupewa zawadi? kwa ardhi ya bab yao MNabii Musa aliyopewa na Allah.. kuchange History kwa lazima ni jambo gumu kwa Wazungu ndio maana washangazwa...
 
Mwisho wa Israel utakuwa mbaya sana, naweza nikaushuhudia huo mwisho au nisiushuhudie ila utakuwa ni Mwisho mbaya sana.
Duh wewe ni Nabii? au mzee wa Kubet ... soma Hisroria kwanza Israel ilikuwepo ikiasi ndio inatawanyika kisha wakitubu inajiunga tena...

Issue ya sasa ni bora useme Mwisho wa Hamas ndio mbaya according to statics..
 
  • Thanks
Reactions: 511
Endelea tu kuamini walioshabulia ni hamas, na hata kama ni hsmas basi wapo sahihi, mtu ameondokewa na wazazi wake na ndugu zake kwa mabomu ya mazayuni so ataachaje kujiunga na hamas alipize kisasi, ardhi ni yao halafu uwanyanyase kiasi hicho!

So endelea kucheka na kufurahia mazayuni wanakifanya, ila siku unachomoka ndio utacheka vizuri
Ndio maana kuna vita so wacha iendelee waliofiwa na wazazi wapigane na wao wapotee tu sawa sawa...umenena yako visasi visasi hadi viishe.. vita zote zinaishiaa same.
 
Haya tuambie tukio la october 7 linahusikaje na mafuta na gas?
mkuu usishangae JF Kuna kila aina ya watu wenye akili na wasio na akili wanaweka mifano isiyofanana hata mtoto wangu hawezi waza hivyo.. eti vita ya kukomboa mateka inafananishwa na ugunduzi wa Mafuta baharini... these people wanaongea bila Logic same kama Dini ya Mnyaz
 
Duh wewe ni Nabii? au mzee wa Kubet ... soma Hisroria kwanza Israel ilikuwepo ikiasi ndio inatawanyika kisha wakitubu inajiunga tena...

Issue ya sasa ni bora useme Mwisho wa Hamas ndio mbaya according to statics..
Sitobishana na wewe ila usipojionea wewe basi hata kizazi chako kitajionea, kuna sheria za asili zinazobalance huu ulimwengu ni somo refu ila utajionea kama utakuwepo.
 
Sitobishana na wewe ila usipojionea wewe basi hata kizazi chako kitajionea, kuna sheria za asili zinazobalance huu ulimwengu ni somo refu ila utajionea kama utakuwepo.
Sasa hapo unajipatia cheo cha unabii.. the issue Manabii wanasema wao wameoteshwa so huwa wanaadithia kila kitakachotokea.. na sio kwa akili yako kama mnajimu wa hali ya hewa...

Andika kitabu cha unabii cha Malaika Misukosuko
 
Screenshot_20240716-224104_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom