Nimeamini Kinachopiganiwa Gaza Ni Mafuta Na Gas

Nimeamini Kinachopiganiwa Gaza Ni Mafuta Na Gas

Trump atakapoingia madarakani vita ya Gaza itakwisha,
IMG_1358.jpeg

Trump huyu au mwingine mkongwe!?
Ulisikia alichokisema/alichomuambia Biden kwenye debate yao ya mwisho kuhusu vita ya Gaza?
 
Acha kukurupuka kuongea upuuzi usioujua, uzi wenyewe hujasoma, kama hujasoma usilete makalio yako mbele kuja ku comment, nimeelezea hapo sehemu inaitwa Gaza Marine ambayo ni rahisi kupeleka gas Ulaya, nimeeleza sehemu hio inaitwa Levant basin.

Sasa gas kutoka Tanzania itafikaje Ulaya kwa njia ya bomba? tumia akili basi mzee usiwe unakurupuka.

Nimeelezea kwanini gas kutoka Levant inahitajika kipindi hiki ambacho Russia gas yake haifiki Ulaya na Ulaya wanahitaji gas.
Sasa kama uzi sijausoma Insu ya mafuta nimeijuaje?.
Sema Uzi nimeusoma ila Nilichokiandika kipo nje na natamanio yako, hiyo ndiyo shida.
Kutaja Gaza Maline hakufanyi andiko lako liwe relivant.
Unauliza Gasi na Mafuta yatafikaje Ulaya wakati huo huo Ulaya ina mpango na mafuta toka Africa baada ya Putin kakazaa na Rubo yake.
By the way maandiko kama yanawatukanisha Hamas kuwa ni wapumbavu, wameanzisha vita ili Mafuta yao yachukuliwa na Wazayuni.
 
Ikiwa akili ama hekima kubwa ni KUAMINI Gaza kuna mafuta yanayowatoa udenda Waisrael basi hiyo akili mimi sihitaji.
Ni bora ni baki mjinga.
HINT: Ujinga wako haupo kwenye kukataa kuwa mafuta ndio yanayowatoa udenda Israel hapo Gaza.

Rudia kusoma tena ulichokiandika taratibu, utaona ujinga wako ulipo.
 
Aliyefaulu kusoma hili gazeti au kitabu cha mleta mada atupatie mukhtasari, kwanza atujuze kama ni mvaa kobazi ili nijue namjibuje.
Yaani wavaa kobazi akili mlinyimwa, mshambulie na kuua watoto wa Wayahudi kisha mchukue wengine mateka halafu mkipigwa kibano mnaanza kuandika andika nyuzi ndefu sijui mafuta sijui pumba gani.
Na mtapigwa tu, kama kweli pana mafuta hapo, mliacha kuyatumia mkaona muwekeze kwenye ugaidi wa dini yenu.
Sasa unadhani kwa madini aloandika mwamba hapa anaweza akawa team za hovyo kama zako?
 
HINT: Ujinga wako haupo kwenye kukataa kuwa mafuta ndio yanayowatoa udenda Israel hapo Gaza.

Rudia kusoma tena ulichokiandika taratibu, utaona ujinga wako ulipo.
Kuna hitaji akili ya uendawazimu kuamini kuwa Hamas walitumwa na IDF ili waue raia wao ili wachukue mafuta.
Mimi ngoja nichague kubaki Mjinga
 
Uzi mrefu nilikua nataka kuishia kati ila kila nikishuka nakuta nondo juu ya nondo nikaumaliza
Ila nahisi umenizidi elimu huu uzi ingawaje kwa uchache wa akili zangu sioni kama DT atamaliza madhila ya wapalestine hasa dhidi ya Israel bora ingekua dhidi ya Misri ama Syria angeweza kumaliza ingawaje DT kajipambanua sio mtu wakutabirika kabisaaaa
Pia Israel analengo mama ndio hilo lakuwahamisha wapalestine ila kama anashirikiana na Misri kwanini Misri asifungue kivuko cha Rafah
Maana uhakika Rafah ikifunguliwa malaki kama sio mamilioni kama sio wapalestine wote wataihama ghaza kwenda Misri
Pia Israel inajua kabisa kama haiwezi kupigana na hamas nandio maana mashambulio yake yooote anakua analenga raia moja kwa moja yaani ili waihame gaza
Ila sioni israel ikiifanikiwa kwenye hilo labda(ra) kama kivuko cha rafah kitafunguliwa
Waarabu wabaya sana hasa jordan na misri linapokuja suala la wapalestina ndio maana Mohammad Morsi hawakumuacha salama
Kama suala lipo hivyo Russia anafanyaje kama kaweza kwa Syria atawezaje kwa Israel maana nna imani hili atakua analijua
Ingawaje wazungu wote awe nani awe nani linapokuja suala la Israel hua lao moja usiwaamini na wala hawaaminiki
 
Kama ni kweli basi hii vita haitokaa iishe hadi mwisho wa hii dunia.

Hakuna mmoja anayeweza kuja kumwamini mwenzake wakati wowote ule.

Israel hataweza kukubali Palestine wapate maendeleo yoyote yale ya maana kwa hiyari.

Hawataki hata Taifa la Palestine liundwe.

So this cycle of violence will never end. Maana Israel wanaamini Palestine wakipata maendeleo, wanaweza kutaka kulifuta Taifa la Israel.
 
Mkuu unaamini Trump akirudi madarakani itakuwa nafuu kwa Wapalestina?...

Umesahau namna alivyoutambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel mpaka kuhamishia ubalozi wa Marekani huko, jambo liliowakera Wapalestina?....

Au nafuu unayoiona wewe ni vita kusimama tu ?
Kila kiongozi ana mazuri yake na mabaya yake. Obama ndiye raisi amepigana vita zaidi ya Clinton. Ameua sana akifatiwa na Bush Jr kwa miaka ya karibuni. Ameipa Iran nafsi ya kujipanga kwa nuclear. Ametetea ushoga kwa herufi kubwa duniani.
Trump ametukana sana watu weusi. Lakini yeye amejali nchi yake zaidi. Yaani amedili na kuongea uchumi kwa njia za kibiashara zaidi. Ameitambua Israel that is okay. Amepunguza gharama za vita kwa nchi kwa kurudisha majeshi nyumbani. Na anasema akiingia vita ya Ukraine itaisha. Kuisha kwa vita ya Ukraine kunaweza kutuliza vita ya hapo Gaza. Hata hivyo Trump ni pro Israel hili ni debatable.
Point yangu ni kila mtu ana kariba yake ya uongozi. Huwa namuona Trump anaongoza usa kifikra za kibiashara zaidi. Na siyo kiprotali za kijeshi na kuwaachia majenerals sijui majaji wamuingoze. Ndiyo maana upinzani kwake ni mkali zaidi.
 
leo hii mmesahau kuwa walipewa ofa ya kuachia mateka ili idf wasivamie Gaza ? unajuwa mmekuwa kama wehu , jambo lipo wazi ila mnang'ang'ania ujinga ili kujifurahisha , hao HAMAS ni wapumbav , hata Nyerere alipigania Uhuru lakin hakuhatarisha maisha ya raia wanyonge kwa kuchukua hatua zisizo na matumanini ya kufanikiwa bali ni kupelekea vifo vya raia tu
 
Kama ni kweli basi hii vita haitokaa iishe hadi mwisho wa hii dunia.

Hakuna mmoja anayeweza kuja kumwamini mwenzake wakati wowote ule.

Israel hataweza kukubali Palestine wapate maendeleo yoyote yale ya maana kwa hiyari.

Hawataki hata Taifa la Palestine liundwe.

So this cycle of violence will never end. Maana Israel wanaamini Palestine wakipata maendeleo, wanaweza kutaka kulifuta Taifa la Israel.
Wapalestina waende Jordan, simple
 
Huyo ni shoga na chizi hapo hapo huwa hajitambui kabisa yeye kazi yake kutafuta habari Israel kapiga sijui Iran imepigwa ana mapenzi na Israeli sababu ya ushoga wake.

Nikirudi kwenye thread, ni kweli wamegundua Gaza kuna mafuta na gas nyingi sana, kwa hio US na Israel wanataka kuwaondoa wa Palestine hapo ili Israel achukue hio Oil na Gas.

Israel anawambia raia wa Gaza nendeni sehemu flani kuna usalama huko, wakienda Israel anafanya genocide afu anasema target ilikuwa kuna fununu kamanda wa Hamasi alikuwa pale, yote ni uwongo mtupu.
nyiny watu mna matatizo ya akili , oct 2023 mlikuwa mnashangilia upuuz wa Hamas , leo mnakuja na stori za Mafuta na Gas , lini mtaanza zitumia akili zenu ?
 
Huyu akili zake kama za bundi sasa Israel atoke westbank aje east afrca kweli??Umefikiria wakati unaandika huu ujinga wako??
kwahiyo Idf waliamka na kuanza shambulia Gaza ? kwann wasubilie mpk 2023 ? oct 2023 mlikuwa mnashangilia upuuz wa Hamas leo hii unasema mafuta sijui gesi , nyiny watu kichwani ni buree , tuliwaambia msishangilie mtawaponza wana Gaza HAMKUELEWA
 
mchambuz unajitambua ? wameambiwa watoke halaf hawatoki bado unalaumu athari za ubishi wao kuwa ilipaswa waachwe tu ili Hamas waendelee kupumua kupitia hao raia wabishi , nmeona vita kadhaa ( sio kusimuliwa kama wewe ) , sijawai ona vita upande mmoja unawapa hadi eneo salama kwa raia wema ambapo mashambulizi hayatofika , mjifunze hata kuona ustaraab wa Idf , hao raia wabish walishajitoa kufa sababu kwao wanaona hamas ni bora kuliko uhai wao , wao wanaona myaudi haki yake ni kifo na hastahiri kuudhibiti ugaidi wa hamas ambao umekuwa unatumia misaada ya raia kwa kujihimarisha wao kivita

MWISHO WA SIKU , WOTE HAPA JUKWA TULISOMA , KUONA NA KUSIKIA OMBI LA IDF KUACHIWA KWA MATEKA ILI WASIVAMIE GAZA , ILA HAMAS , WAARABU NA JAMII YA KIISLAM ILISEMA IDF WANAOGOPA KUINGIA GAZA SABABU WATACHINJWA KAMA KUKU LICHA YA KUPITIA VIPIGO KADHAA ILA WAARAB NA JAMAII ZA KIISLAM ZIMEENDELEA KUTOWAJALI WANA GAZA KWA KUWAFANYA KANA CHAMBO KUPIMA UWEZO WA IDF ,SASA TULIEN WATU WAKAGULIWE LINDAH
Hakika wewe ni mjinga , usiyejua chochote , hao unaowatukuza wanatoa maeneo salama na bado wanayalipua.

Na hapo unajiona umeandika vya maana , kumbe umeandika pumba tupu.
 
Wewe hakuna unachofahamu hapo na inaonekana huna shughuli yoyote ya kufanya ndio maana unapoteza muda kuandika habari ndefu isiyo na maana.

Hivi hapo kwenye kijiwe chenu hamjui kwamba kwa sasa Marekani ndio nchi ya kwanza duniani kwa uzalishaji wa mafuta au bado mnafikiri ni Saudi Arabia.
 
Back
Top Bottom