goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Mm nashukuru pia mnk hata mzee wangu alivyo fariki alitoa maagizo ten kwa mtot mdg wetu was mwisho kuwa akifa azikwe mitachache kbsa kutoka barazani yaani kabiru lake liwe nnje muda wote ..bas tulikubali kwa shingo upande ingawa baadae kaburi Hilo limekuja kuwa Kama kivutuie kwani brzaa alikuja kuliboresha vxr na kuvutiaa Sana hapo nje na mm hutumia snaa eneo Hilo kulaa na kufua pia na huwa wanna wanmjuwamzee wangu wakijaga hapo omu bas hupendeleaa kukalia kaburi na watu wamezoee ..sas hv naona watu wengi wanakufa wanazikwa Kama alivyo zikwa mzee. Wanting bill kuficha kaburi