Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

Mm nashukuru pia mnk hata mzee wangu alivyo fariki alitoa maagizo ten kwa mtot mdg wetu was mwisho kuwa akifa azikwe mitachache kbsa kutoka barazani yaani kabiru lake liwe nnje muda wote ..bas tulikubali kwa shingo upande ingawa baadae kaburi Hilo limekuja kuwa Kama kivutuie kwani brzaa alikuja kuliboresha vxr na kuvutiaa Sana hapo nje na mm hutumia snaa eneo Hilo kulaa na kufua pia na huwa wanna wanmjuwamzee wangu wakijaga hapo omu bas hupendeleaa kukalia kaburi na watu wamezoee ..sas hv naona watu wengi wanakufa wanazikwa Kama alivyo zikwa mzee. Wanting bill kuficha kaburi
 
Si kweli, baba yangu mzazi alipofariki alisema tumzike Dar nikakataa tukampeleka Tanga nyumbani na tukampumzisha kwenye shamba letu la Ukoo. Hatukupata shida yeyote.
Kichwani mwako zinakutosha? Hakuna mahala katika post yangu #1 nimesema kuwa hii Kitu ni sahihi kwa 85% tu ila 15% si kweli?

Nionyeshe mi wapi nimehalalisha kuwa ni kweli kwa 100% nione.

Acheni kukurupuka Kujibu kabla ya Kuieldwa Mada kiundani na Kimantiki ili mkichangia msionekane Majuha.
 
I don't care what you say, if you think I am deficient in intelligence that doesn't bother me at all.

But, I'll always sides with facts and not myths.

And it seems you are one of those imbeciles who believes Santa Claus is real.
Absolutely Rubbish...!!!
 
Mnapotoa haya masharti uchwara muwe mnahakikisha mmeacha pesa pia, sio usafirishwe tu kwa kuchangisha wengine.
Hapo sasa mtu anajitutumua kutoa masharti kibao wakati hata ndani hana kitu cha kuuza elf 20
 
Mjumbe hauwawi.
 
Uandishi wako unatia kinyaa
 
Ulaya namba 13 hawaitumii kwenye kila kitu wanaamini Ina mikosi

Michael ballack alivaa namba 13 alikumbwa na mabalaa kila msimu ya majeruhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…