Nimeamini masharti ya marehemu wakiyasema kabla ya kukata roho

Kabisa!

Niliona Live kipindi fulani marehemu alichotaka hakikusikilizwa ikawa balaa.Double coaster mpya ikafa engine njianiTukakokotwa na roli mpk kufika maiti ishaoza.Pale church anaombewa likatokea balaa gani sijui.

Mda wa kuzika jamaa wanashusha jeneza taratibu kamba ikakatika likaanguka ndani paaa.Ikabidi niwashtue marehemu kakasirika hataki kuzikwa hapa tieni udongo tutimke haraka sana.
 
Lakini shida yote hii ya nini? Yaani ni ubahili tuu wa kumtoa Dar labda mpaka Morogoro, Dodoma au Arusha wakati mwenyewe kaacha maelekezo? Labda itokee hakuna mwenye uwezo kabisa wa kuchangishana na kukodi gari.

Mnapotoa haya masharti uchwara muwe mnahakikisha mmeacha pesa pia, sio usafirishwe tu kwa kuchangisha wengine.
 


Jemima and Zulfa nikifa lazima mje. Pia Mshana Jr, Extrovert, GuDume, sky expat na Bill Lugano msipokuja, sitazikika yang mkae mkilijua hilo
 
Haya ndiyo mambo pekee waafrica tunayaweza
Ulaya nako kuna vituko pia na mambo ya ajabu, ila kwa kuwa wao wametuacha kiuchumi tunaona km huu upuuzi hakuna.. Ni km huku mwenye nacho(tajiri) tunaamini kuna mambo hana, ukiambiwa anafanya utashangaa.. Au tajiri ana ruhusa ya kusema chochote na kuaminika kirahisi, sema wewe KAPUKJ sasaa[emoji23]

New Zealand wana mchawi wa taifa
Benfica wana laana ya kocha wao aliwaapiza jinsi walivyomkosea adabu hawatabeba kombe la ulaya miaka 100.. Mpaka sasa waishapoteza fainali km 5 hivi..
Kuna wachezaji ulayA wana imani za kiwaki, sikumbuki vizurii, km sikosei JT yeye alikuwa lazima wa mwisho kuvaa, ikitokea kavaa halafu mtu hajavaa atavua na kuvaa upya.

NOTE. sisemi naamini hizi imani, ila nasema zipo duniani koote. Si mzungu, muafrika, muhindi, wala mchina.
 
Kumbe
 
Kwa kauli hizi hata hizo mali zenu za urithi sitaki iwe ya baba au sijui nani sitaki natafuta zangu.

Kiufupi mambo ya Mila yana nguvu kuliko imani za dini za wazungu na waarabu .

Wakinga Zamani walikuwa wanatajirika fasta tuu kwa kutii imani zao lakini leo hii hakuna tofauti na watu wengine Kisa dharau za Mila na kukumbatia tamaduni za watu wengine.
 
Juzi Kati nilienda kufuata maiti Mortuary sijui hili wala lile kumbe unaweza ambua makubwa.Kwanza nahisi kuumwa umwa hovyo since then.

Sitokuja kwenda kufuata maiti zisizonihusu maana hii kitu nimefanya mara 2 kwa watu 2 tofauti nisiowafahamu ila tuu ni vifo vya mtaani kujifanya jirani mwema.
 
Safi jamaa.tafuta CHAKO na wafundishe watoto wako kutafuta chao Mambo ya kusubiri kurithi tuwaachie wazawa wa uswahilini
 
Wanaondokaga na watu mkuu acha wenye watu was wakatafute we saidia kubeba tu
 
Ushirikina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…