game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Tunamfariji marehemu mkuu,unamvuta nje pembeni kumpa rambirambi afu unapitia humo humo[emoji38][emoji38]
[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamfariji marehemu mkuu,unamvuta nje pembeni kumpa rambirambi afu unapitia humo humo[emoji38][emoji38]
Namkumbuka sana jiwe.Lkn Samia sijawahi kumsikia akisisitiza jambo hilo.Kauli za Magufuli mnazikumbuka lakini? Alisema tusimuache Mungu
Mada hapa ni Marehemu na Masharti yao hii Mada yako sijui ya Wazawa na Urithi hapa imekujaje? Kuna Watu ni Wapumbavu hapa hadi mnakera na nashangaa kwanini UVIKO-19 imewachelewesha Kuwapeleka tu Udongoni.Safi jamaa.tafuta CHAKO na wafundishe watoro wako kutafuta chao Mambo ya kusubiri kurithi tuwaachie wazawa wa uswahilini
Duh!!!. Wakatoliki tukizungumza habari za wafu na kusema kuwa wafu bado wanaishi ktk Ulimwengu wa roho kuna watu huwa wanabisha na kutuona sisi washamba tusiojua Maandiko lkn ukweli ndo huo kifupi yapo mengi tusiyoyajua kuhusu wafu.Kifupi kauli zao hutimia.Nakumbuka nikiwa mdogo mama yangu mkubwa alikuwa na pesa na Mali zisizo hamishika lakini kea kuwa alikuwa na UGONJWA wa ajabu wa kujivua Gamba (Kama mdudu) baadhi ya ndugu walimnyanyapaa. Sasa hivyo hivyo alisema endapo at ONDOKA duniani wasimsafirishe na watu fulani wasipewe chochote kutoka ktk Mali yake...
Unajua we ni lijinga?Nani kakudanganya kuwa Wazungu nao hawana Tamaduni zao au Dhania kama hizi? Umewahi Kuishi nao huko Ulaya / Marekani?
Hapo ulipo Umezaliwa Tandale na sasa Unazeekea hapo hapo Tandale leo hii unataka Kutudanganya hapa mambo na Tamaduni za Wazungu wakati umeota kwenda Kutembelea na Kuishi huko huu mwaka wa 40 sasa hujafanikiwa.
Hopeless mkubwa Wewe!!
Umesema vema Mkuu.Ulaya nako kuna vituko pia na mambo ya ajabu, ila kwa kuwa wao wametuacha kiuchumi tunaona km huu upuuzi hakuna.. Ni km huku mwenye nacho(tajiri) tunaamini kuna mambo hana...
Unaelimisha na leo nimefaidika sana tu.Huu uzi una mabalaaaa
Usikate tamaa, endelea kuwa mwema.Juzi Kati nilienda kufuata maiti Mortuary sijui hili wala lile kumbe unaweza ambua makubwa.Kwanza nahisi kuumwa umwa hovyo since then.
Sitokuja kwenda kufuata maiti zisizonihusu maana hii kitu nimefanya mara 2 kwa watu 2 tofauti nisiowafahamu ila tuu ni vifo vya mtaani kujifanya jirani mwema.
Hii ni sayansi au ni imaniAkikataa kuzikwa eneo A, akang'ang'ania kuzikwa eneo B. Na ninyi ndugu kwa sababu za msingi sana mkaona azikwe eneo A msipate shida sana. Kukwepa hayo mabalaa tumeni ndugu mmoja wa Kiume eneo B akachukue udongo kidogo katika kisado aulete eneo A...
Sawa mkuu...Ila sijazidi Upumbavu alionao aliyekuzaa.
Ni Utamaduni wa Kimila kwa Waafrika.Hii ni sayansi au ni imani
Ninatumai ulichokitafuta umeshakipata.Sawa mkuu...
Ukiamua kutaka mbwembwe na masharti mengi basi ni vyema uache na bajeti husika (mfano fedha za kutosha kusafirisha mwili wako) siyo kusumbua watu na kuwalazimisha kukusafirisha kwa gharama.Lakini shida yote hii ya nini? Yaani ni ubahili tuu wa kumtoa Dar labda mpaka Morogoro, Dodoma au Arusha wakati mwenyewe kaacha maelekezo? Labda itokee hakuna mwenye uwezo kabisa wa kuchangishana na kukodi gari.
Asikudanganye Mtu popote pale ulipo kuwa Kauli za Watu waliokufa namaanisha Marehemu wakizisema huwa hazitimii. Ni kwamba huwa hawatanii kabisa na wayasemayo hutokea na hutimia...
Duh! Noma aisee.Hiyo ya 'sitaki fulani afike siku nikifa' nimeshuhudia matukio mawili maeneo tofauti.
La kwanza ilikuwa mke alikula njama kumwua mumewe kwa sumu. Alihangaika kwa matibabu ilishindikana. Kabla hajafa akasema mkewe asisogee msibani. Kwa jeuri ya pesa alikodi polisi wakamsindikiza kijijini kumzika mumewe wakati muda wote wa kuumwa hakujali...
Hahaaa dah [emoji23]Nikifa, mke wangu asiolewe (mbususu ibaki kama nilivyoiacha)
Mwezi wa sita tulizika mzee mmoja Moshi ili hali yeye alitaka kuzikwa Dar es ssalaam hakuna kulichotokeaAsikudanganye Mtu popote pale ulipo kuwa Kauli za Watu waliokufa namaanisha Marehemu wakizisema huwa hazitimii. Ni kwamba huwa hawatanii kabisa na wayasemayo hutokea na hutimia
Inamaana hawakumuangalia na kumkagua marehemu wao??Ninayoikumbuka kuna mzee alisema sitaki siku ya kunizika mfanye mbwembwe kama sherehe kutokana na uwezo wa kifedha wa ile familia. Alisema anataka azikwe simple sio mambo ya vyakula, pombe n.k. Sasa alipifariki watoto ni kama walifanya sherehe.. kitaa watu walihamia pale ni kula na kunywa. Siku ya maziko vivyo hivyo wakazika fresh...