Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ama graduate wakimaliza tu piga seminar fee 5k ili uwape mtaani linatakiwa Nini ama ukiwa kazini inatakiwa uishije Mana huko sio shuleni Kuna wivu na kurogana namna ya kuishi na wafanyakazi wenzako.
Pia six wakimaliza unawaita unawashauri kuhusu masuala ya vyuoni na mapenzi na mabata ama kuku.
Ila umenifurahisha wewe mdada genius Sana ivi umeshaolewa mie Nina mke Ila napanga kuongeza mke Mana huwa napenda ambaye brain iko hot hot Ina boil so na wewe unafiti kigezo .
Pia nitakupa dili la ku download hela huku na simu yako na bando tu huku tupo ama Dubai fulani ivi
Pia six wakimaliza unawaita unawashauri kuhusu masuala ya vyuoni na mapenzi na mabata ama kuku.
Ila umenifurahisha wewe mdada genius Sana ivi umeshaolewa mie Nina mke Ila napanga kuongeza mke Mana huwa napenda ambaye brain iko hot hot Ina boil so na wewe unafiti kigezo .
Pia nitakupa dili la ku download hela huku na simu yako na bando tu huku tupo ama Dubai fulani ivi