Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Hajaanza kujiwekeza?Nina mwanangu alikuwa kwenye mradi anavuna milioni 5 kwa mwei, mradi ukaisha hata hela ya gesi, hela ya vitu vidogo, msosi wa mtoto ikawa mbinde, nilimoa sana kampani kipindi hiki, kapata kazi tena kasahau kila kitu 😂🤣
Umemaliza kila kitu mkuu.Uwezo wa nchi unapimwa kwa mambo ya msingi.
Nchi ambayo bado inapewa misaada ya matundu ya vyoo na ambayo inapoteza watoto wadogo wenye damu ya kisiasa inayochemka kama akina Soka nakuhakikishia, nchi hiyo ni failure ktk anga zote.
Akili isiyoweza kusolve matatizo ya msingi kama vile maji, matundu ya vyoo, madawati usitegemee inaweza kuwa nzuri kwenye mambo complex kama ya ulinzi ktk geopolitics.
Sina hakika, sababu sasa hivi sio km zamani, inaweza kupita miez 6+ huko hajakucheki, hata salamu ngumu, sasa katukuta sisi maskini jeuri, hatusaidii ili na wao watusaidie kesho la hasha, huwa tunasaidia sababu tunaona watu wetu wa karibu wametingwa(wana shida kushinda shida zetu) tunasaidia sababu sisi mtu akikunyooshea mkono wa kuhitaji, huwezi kuficha mkono wako mgongoni, nawe unamnyooshea kumpa kile kidogo ulichonacho, na wala hatusaidii sababu tuna vipato vikubwa la hasha, ni upendo ma huruma tu.Hajaanza kujiwekeza
Hongera sana kwa moyo huo. Ila kama ulimbeba kipindi hicho ni heri kumkumbusha kuwa history repeats itself, hivyo ajiandae.Sina hakika, sababu sasa hivi sio km zamani, inaweza kupita miez 6+ huko hajakucheki, hata salamu ngumu, sasa katukuta sisi maskini jeuri, hatusaidii ili na wao watusaidie kesho la hasha, huwa tunasaidia sababu tunaona watu wetu wa karibu wametingwa(wana shida kushinda shida zetu) tunasaidia sababu sisi mtu akikunyooshea mkono wa kuhitaji, huwezi kuficha mkono wako mgongoni, nawe unamnyooshea kumpa kile kidogo ulichonacho.
Ndugu zetu wachina na Russia wataokoa jahazi.Pole sana mleta mada, ndiyo watu waelewe 🇺🇸 haipaswi kufananishwa na wengine!
Pole sana mkuu.Hali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.
Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!
Trump ni shetani kabisa
Yaani mtu akikukatia msaada ndio inakuwa masimango hiviHali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.
Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!
Trump ni shetani kabisa
Bado hujasema 😂Trump ni shetani kabisa
Huo ni ujinga tu watu hawaishi maisha ya stahili yao wanang'ang'ana kuishi maisha ya wengine. shida sana hii hasa ukiwa na mke mpùmbavu mtaishia huku or worse.Hii hali imewakumba jamaa zangu pia, vipato vyao ni above average ila baada ya hiyo notice watu wanachanganyikiwa.
Kadri kipato kinavyoongezeka, matumizi yanaongezeka, usishangae mtu anapata 5m+ kila mwezi na anapewa notice ila Bank hana mia, scary!
Haa haaa we jamaa bwana daahUmepata familia kwa msaada wa watu wa marekani
Ondoa X weka MDHHali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.
Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!
Trump ni shetani kabisa
Polee sana Kiukweli Ni kwamba Tamko la trump limeathiri Uchumi wa nchi na watu wa Afya wanasikitika sanaHali ni mbaya kulia na kusaga meno tayari vimeanza.
Mimi ni mtumishi mwandamizi wa shirika X linajihusisha na huduma za CTC, aisee moja haikai mbili haikai tumeanza kupewa notice, familia zetu zitaishije jamani, shirika linna step down!
Trump ni shetani kabisa
Kadri kipato kinavyokuwa, ndivyo matumizi yanavyozidi kuwa makubwa. Elewa hivyo mkuu!!Huo ni ujinga tu watu hawaishi maisha ya stahili yao wanang'ang'ana kuishi maisha ya wengine. shida sana hii hasa ukiwa na mke mpùmbavu mtaishia huku or worse.
Yako Mengi Kuna MDH, Jhpiego, Cuamn, PAM, TPH, GLOBAL Fund ,MDU,Amreff Ni kwamba Mbugi kubwa ya Watanzania Inaenda Kukosa AjiraOndoa X weka MDH
Acha kujifariji wewe, nani alietumbuliwa kwa vyeti feki alirudi na maisha bora zaidi ya kutaharuki na wengine pressure ziliwapanda.Pole Mkuu! Wakati JPM anaingia madarakani alitimsha watu wengi sana maofisini kama ‘watumishi hewa’ wengi kiliwaramba, halali na sio halali lakini maisha hyakuishia hapo na wengi waliopigwa chini walirudi na maish bora zaidi.
Hiko kinachoendelea hapo mkuu kichukulie kama hakikwepeki then angalia upande mwngne tusonge mbele. Maisha ni kuangalia mbele na sio kunung’unika daily.
Stand up kamanda tusonge mbele!!