Sema wewe mkuu, Mimi Nina mashaka na namna anavyowaangaliagaAcha kujipeleka kwenye hiyo nyumba, tafuta watoto wenzio uwe unacheza nao.
Umeshaambiwa age is nothing but a number, hakuna mbaba wala mmama kwenye mapenzi.
Naunga mkono hojaMdogo wangu mzuri,
Kamwe usiweke Imani kwa kiumbe hai aitwaye mwanadamu, iwe wa kike ama kiume, kuwa 'dissapointed' ni suala la kugusa tu..!!
Na ww tazama husiano lilokaa kihasara livamie, usife kizembe π€£π€£π€£Na hizi mvua naweza nikatelezea kwenye koloni la watu π€£π€£
Ndio,Unakaa kwenu?
Hatuwezi kukuamini sisi. Maelezo yako yanaonesha huwa unaenda mara kwa mara pindi baba Cathe akiwepo.SIjamtega kweli nawaambia
We acha tyuuu!! Limeenda na wora π€£π€£π€£Kwani huba la dada na yule mubaba wake lilikufa?????
Kwani unajua wanaume tunategwaje?SIjamtega kweli nawaambia
Mwishowe utamtunuku mzigo baba Cathe vizuri tu.Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu
Sisi hata ukituangalia tu, akili inahama πKwani unajua wanaume tunategwaje?
Lazima nichukue mtu nitajua mbele ya safariNa ww tazama husiano lilokaa kihasara livamie, usife kizembe π€£π€£π€£
ππππWifi ni kweli mwanaume kuna vitu akiviangalia anajua huyu anatongozeka au anaingilika.
Wanaume waje waseme hapa km nadanganya, kuna mwanamke wa kumla siku moja na mwingine wa kupewa muda na mwingine haingiliki kabisa. Wote hao wanawafahamu.
Sasa turudi kwenye viashiria vinavyompa mwanaume go ahead ya kumtaka mwanamke kwanza,
1. Macho- hiki ndio kitu cha kwanza kinachompa mwanaume uhakika wa kumpata au kumtongoza mwanamke haijalishi km atakubaliwa au lah! Ila ana asilimia nyingi za kukubaliwa. Hapo jicho litalegezwa na KE kujifanya anaona aibu.
2.Midomo- hii nayo inatoa ishara ya mwanamke kumpa taarifa kwamba unaweza kunitongoza tu ww endelea. Utaona ataanza kujichekesha na kujiongelesha kwa sauti ya mama manunu ( sepenga)
3.Body language- Hapa utaona mwanamke kuna viungo atavichezesha na men atajua huyu anaingilika. Anakuwa hana utulivu mara ajinyonge au km ana wowowo basi atalilegeza ili kumvutia. Wengine wanangβata kucha kujifanya wana aibu wkt chama la wana πππ
Tuje kwa hawa ndugu zetu hawa wa JF
Hawa wakimnyapia mwanaume wako ujue wanataka maokoto hawana jipya. Wao huwa wanajifanya kuwasifia kila wakiwaona mnabebishana nao wanaweka vikoment vya kujimwambafai, na ukiona wanaita sana shemeji ujue kuna kitu. Halafu ni mabingwa wa kuzama piemu sema wanaume wana vifua hawasemi mpk wapige muhuri kwanza π€£π€£π€£π€£
Comment yangu mwenye uchungu asiguse siko vzr leo pls
Wewe ulimwangalia kivipi?Mimi sijamwangalia kihivyooo...π
π€£π€£π€£ Ila bff wanakuibia sana fanya jambo ulivamie la yoyote.MWaka wa kufosi huu
Lazima nichukue mtu nitajua mbele ya safari
Ukute jamaa kajua mkewe kamletea dogodgo wa kujipozea.Sisi hata ukituangalia tu, akili inahama [emoji28]