ππChochea kuni moto uwake vizuri mwanaChelsea
ππππ wana thiiiimbaaaaMchape kama Tereza mashujaaaaa asante kwa kuwakilisha kijeshi
Kwaiyo unaamini kua atabwanako ana haribu mtaaHilo ni kweli mkuu! Ndio maana kuanzia sasa nimepata conclusion "Wanaume wote wanacheat"
π tchaaaah eeh!!tuzitoe wapi mzee mwenzangu..?? Majukumu yote haya ya kulea watoto wetu, wa ndugu, watoto wa mume wa nje ya ndoa, tchaaah'..!ππ
Mudhungu kafia wapiππππ wana thiiiimbaaaa
Unapenda "kwalitii" gan sasa,?Kama ana qualities ninazozipenda YES..!
Wachaneπ tchaaaah eeh!!
Kwamba nyie ni watakatifu sana sio.
Hawa wake za watu wanaofumaniwa na vijana wadogo sio wanawake?
hivi wewe hapo NASA MNAPATA MUDA WA KUPIGA SOGA JF KWELI? Maana nasikiaga mikazi ni mingi kweli.Mimi mbona wako pekee yako
Utamuonaje wakati yupo kigoma mwisho wa umbea ππ€£π€£π€£π€£ huyo huyo udugu wangu halafu mdogo wangu!! Sijamuona kabisa leo
Nawachana πWachane
Tafadhali usiwaangushe Watoto wa Ke mwenzio, kuna faida kuwabariki kuliko kije kiliwe na funzaWashindweeee
Ndio wapeNawachana π
Tukuitie we domo la kumuitia huna? π€£π€£π€£Niitieni Leejay kwanza πππ
ShindwaaaTafadhali usiwaangushe Watoto wa Ke mwenzio, kuna faida kuwabariki kuliko kije kiliwe na funza
Mbona mapema sana....Awe anapumua[emoji1]