Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
kwa hiyo huyo baba cathe angekuwa anazo quality unazopenda ungemfikiria?Kama ana qualities ninazozipenda YES..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo huyo baba cathe angekuwa anazo quality unazopenda ungemfikiria?Kama ana qualities ninazozipenda YES..!
Mara paaaaah ephen yule kaelewa main hayazeeki bhnMkuu ile simulizi yako ya kufumaniwa siioni,imeyeyuka?
Kwa hilo epuka ukaribu sana na mazoea na wanandoa au watu wapenzi.Kama ana qualities ninazozipenda YES..!
🤣🤣🤣🤣 team bovu had vitimu vibovu wanajipigia mnyama..!! Sema makolo wana stress wanaweza kukung’ata ukikaa karibu nao😂😂😂
sahii ukijiongelesha pembeni ya mwanalunyasi kipepsi nje nje mzee mwenzangu..!!
Na huo ndio uanaume sasa. Hakuna mwanaume malaika, kila mmoja ana makandokando yake hata wewe unayo yakwako. Cha maana ni kuhakikisha mambo yako unayafanya bila kumuumiza mwenzio.mwanaume anaweza kua mwema kwa mkewe lkn ana makandokando kayaficha bila kuonesha dalili yoyote.
Yaaah watulivu wapo wengi tu..Tambua kitu kimoja hakuna mwanadamu aliemkamilifu hivo usiwahukumu,sio kazi yako hio,umeshawishiwa umekataa that's Good umesimama imara hujatelezaPoint ni kwamba
Nilikua nina imani kuna wanaume watulivu
Jinsi baba Cathe anavyomtenda mke wake vizuri nikajua kweli wanaume watulivu wapo 100%
Kitendo alichikifanya kwangu kimenifanya nione mwanaume anaweza kua mwema kwa mkewe lkn ana makandokando kayaficha bila kuonesha dalili yoyot
Nae ni mtu pia ila kavutiwa nawe kwa sababu anakuona mara kwa mara.Mume wa mtu ❌
Jirani kuwa makini sana leo maana kuna modi ni kolo🤣🤣🤣🤣 team bovu had vitimu vibovu wanajipigia mnyama..!! Sema makolo wana stress wanaweza kukung’ata ukikaa karibu nao
duuuImefutwa mkuu
Yo mzeeKwamba paaap nimemuelewa nani?
ngoja akutafutie dawaWanaume wote mnamtetea Baba Cathe...!
Tabuleleeee hiiii🤣🤣🤣🤣 team bovu had vitimu vibovu wanajipigia mnyama..!! Sema makolo wana stress wanaweza kukung’ata ukikaa karibu nao
Aaaah we muwezeshe tu kwani ye kaona niniSiwezi! Kuna kijana kanishika.