Nimeamini wanaume hawaaminiki

Nimeamini wanaume hawaaminiki

Ngoja leo niseme kitu maana mimi huwa ninafanya tafiti kimya kimya.

Kuna mdada anaitwa Leejay huyu akianzisha nyuzi yake itatembea balaa nahisi ni sababu ni mtu ambaye yupo social sana na anaandika uhalisia sana wa maisha.

Wa pili. Ni Ephen uzi wake wa jeshini umempa umaarufu sana nikashangaa mpaka kaka yangu Lucas Mwashambwa akatia komenti yake na wamekuwa na chemistry nzuri sana.


ila kuna watu wale wanaopost saa24 wengi huwa ni waongo waongo na hawana kazi.

Pole dada ephen mtoto wa ukonga(jokes)
Hivi kumbe
 
Ngoja leo niseme kitu maana mimi huwa ninafanya tafiti kimya kimya.

Kuna mdada anaitwa Leejay huyu akianzisha nyuzi yake itatembea balaa nahisi ni sababu ni mtu ambaye yupo social sana na anaandika uhalisia sana wa maisha.

Wa pili. Ni Ephen uzi wake wa jeshini umempa umaarufu sana nikashangaa mpaka kaka yangu Lucas Mwashambwa akatia komenti yake na wamekuwa na chemistry nzuri sana.


ila kuna watu wale wanaopost saa24 wengi huwa ni waongo waongo na hawana kazi.

Pole dada ephen mtoto wa ukonga(jokes)
Bora nimwite Lucas Mwashambwa yeye atakua upande wangu😄
 
🤣🤣🤣🤣 team bovu had vitimu vibovu wanajipigia mnyama..!! Sema makolo wana stress wanaweza kukung’ata ukikaa karibu nao
😂😂😂
kabla tubadili mada ya watu, naomba niage kwa kusema 'mnyama sikuhizi kawa kibogoyo, hang'ati..!'
 
Mimi hua naona ni heri mtu uujue uhalisia ili hata likitokea la kutokea usishangae saana, kuliko kudhani kwamba mtu ni malaika kumbe ni binadamu na ana mapungufu yake.
Kaonyesha haiapoteza chochote anatest mitambo kama kishasahau
 
Back
Top Bottom