Nimeamini wanaume hawaaminiki

Sijafurahia na sijategemea hili kutoka kwake!
Uhalisia ni kwamba kutongoza ni tendo la mwisho, kabla ya hapo kuna mambo ya kibiolojia huwa yanatumika kama ishara ya kumwambia mwanaume huyu sasa ni wa kutongozwa, hayo mambo huyafanya mwanamke kwa kujua au kutokujua.

Hapo kwake hamkuwahi hata kugonganisha macho na jamaa ukatabasamu? Sema kweli.
 
Ila mi baby mupya Sina radhi nae ujue kabisaaaaaa......Mimi na Wizzy mpaka ufe akuzike...
 
Na 80% ya mshusiano huanzishwa na wanawake kwa makusudi yaliyo kamili, asilia 10 bila ya wao kujua na 10% ni jitihada za wanaume
 
Sijawahi hata kumuwazia
Na yeye hakuwahi hata kuonyesha dalili
Haiwezekani. Yaani ww kuadmire tu huko kulishana lishana na mkewe ni kumkubali na yeye kama mwanaume lazima atanotice kuwa unamkubali, shida ni kutafsiri namna unavyomkubali.

Inawezekana kabisa hukujua ila tukio la kukutongoza lilianzia kwako, hata namna ulivyokuwa unamuaga tu.. Ulikuwa unasemaje? Sheeeem, usiku mwema. Huwa unamuagaje?
 
Ila mi baby mupya Sina radhi nae ujue kabisaaaaaa......Mimi na Wizzy mpaka ufe akuzike...
Utazoea tyuuu!! 😂😂😂
Halafu huyo hatukuwa wapenzi, ni marafiki sie sema nyie ndo mlikuwa mnaona vibaya dada!!
 
Eti alikuwa anaaga "sheeeeeeem usiku mwema"Ulikuwepo?😂
 
Reactions: Tsh
Na 80% ya mshusiano huanzishwa na wanawake kwa makusudi yaliyo kamili, asilia 10 bila ya wao kujua na 10% ni jitihada za wanaume
Kabisa. Mwanaume mtongozaji maranyingi ni victim. Exception ipo kwa wabakaji tu. Ila mtu mnaonana mara nyingi asikutongoze day 1 aje akutongoze day 100 halafu mtongozwaji usihusike? Haiwezekani.
 
Bora wewe umenifariji
Hawa wengine wanamtetea Baba Cathe😂
Mimi hata Mungu anafahamu nini nakuwazia wewe ephen na namna navyotamani siku Moja nifanye jambo kubwa la kuuufanya hata moyo wako ukabubujikwa na machozi ya furaha ,kusema kumbe japo Dunia ni uwanja wa fujo na watu hawaaminiki na wamepungua upendo na utu lakini kumbe alikuwepo na yupo Lucas Mwashambwa katikati ya hao walimwengu mwenye roho ya upendo wa jua.
 
Nilijua amekula mzigo tyr kumbe maongezi tu sasa fanya hivi ww muite then mrekodi maneno yote then mpelekee mkewe
 
Huenda mke wake anajua kila kitu sema watu wa zamani wana vifua wameamua kuwaonesha upande mwema kwao
 
Sijawahi kububujikwa na machozi ya furaha nasubiri hiyo siku😂
 
Sijawahi kumuita shem wao ni watu wazima kwangu
Huwa namuamkia 'Shikamoo baba Cathe'
Na huwa simuagi sababu nakaa kibarazani siingii ndani kwao
Hiyo shikamoo baba cathe embu jirikodi voice note tuisikie kama imekaa kutongozwa tongozwa tuone kama baba cathe kweli ni wa kulaumiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…