Nimeamini wanaume hawaaminiki

Time will tell,ila kwa mwandiko huu tayari ushamwa~demire baba cathe,hata na hivyo kamata fursa hio before its too late!
 
Wewe ni nani kwani? Mbona kama unajitoa [emoji28][emoji28]
Sasa nimeshaleft group kitamboo, na sina nachojua kuhusu uanaume, inakuaje hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nisaidie bas.
 
Acha kwenda nyumba za watu. Kaa kwenu chaumbea.
 
Sasa hapo ame cheat vipi mbona unamsingizia.
Namba hujampa
Hujamsikiloza
Unasema anacheat.
Angekuwa kafanya tukio nawe ndio muhusika ningeamini
Wanaume ni waaminifu mnomno mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…