Nimeamini wanaume hawaaminiki

Hayo unayaona yataisha tu muda utaamua!kukumbatiana na mbwembwe kibao huisha mapema tu!!

Uanaume ni kazi ngumu sana sio rahisi hata kama mngepewa nyie uanaume mngefeli tu!!

Kubeba future ya watoto na mama yao ni mzigo wa misumari inayowafanya wengi wasitamani ndoa!!Mali zetu ni pesa iliyopo mfukoni,chakula tunachokula,mavazi na ke ulienae kitandani Kwa wakati husika,the future belongs to women and children's not men!!

Ndio maana sisi me Kila mmoja ana retreat Kwa tabia yake,wengine ulevi,wengine hiyo na mchanganyiko!!

Waliowatulivu ni wale wenye matatizo ya kiafya na kiroho ,lakini rijali kabisa can't settle with one!we were made for that!
 
Watoto watano bado anamkumbatia mkewe,jamaa apewe tu maua yake Kwa kweli
 
Sasa hivi unaliwa kimasihara
 
Kucheat hakumaanishi mwanaume hampendi mkewe bali kuna mambo mengi yanaweza yakawa hayapatikani ndani ya ndoa na mwanaume akayataka nje, pia wanaume tumeumbiwa tamaa, kukutaka wewe haimaanishi kuwa ndio atamuacha mkewe ili awe nawe. Atakutumia na ataendelea kukutumia huku ndoa yake ikiendelea kushamili kwa madoido yote kama uliyoyaainisha hapa kama kawaida kama dawa πŸ˜ƒ
 
wew ndio bado mdogo kwenye hayo maswala,,ni ivi io n kawaida sana na asilimia kubwa (sio zote) nyumba yenye furaha mme anachepuka uko nje ila heshima na nafasi ya mke wake inabaki pale pale,pia michepuko husaidia kupunguza baadhi ya makwazo ya wake zao.(inauma lakini)

Nawew unashangaa vile ilo zari limekuangukia wew,,ila in short n kawaida mdada.nukta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…