NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Hayo unayaona yataisha tu muda utaamua!kukumbatiana na mbwembwe kibao huisha mapema tu!!
Uanaume ni kazi ngumu sana sio rahisi hata kama mngepewa nyie uanaume mngefeli tu!!
Kubeba future ya watoto na mama yao ni mzigo wa misumari inayowafanya wengi wasitamani ndoa!!Mali zetu ni pesa iliyopo mfukoni,chakula tunachokula,mavazi na ke ulienae kitandani Kwa wakati husika,the future belongs to women and children's not men!!
Ndio maana sisi me Kila mmoja ana retreat Kwa tabia yake,wengine ulevi,wengine hiyo na mchanganyiko!!
Waliowatulivu ni wale wenye matatizo ya kiafya na kiroho ,lakini rijali kabisa can't settle with one!we were made for that!
Uanaume ni kazi ngumu sana sio rahisi hata kama mngepewa nyie uanaume mngefeli tu!!
Kubeba future ya watoto na mama yao ni mzigo wa misumari inayowafanya wengi wasitamani ndoa!!Mali zetu ni pesa iliyopo mfukoni,chakula tunachokula,mavazi na ke ulienae kitandani Kwa wakati husika,the future belongs to women and children's not men!!
Ndio maana sisi me Kila mmoja ana retreat Kwa tabia yake,wengine ulevi,wengine hiyo na mchanganyiko!!
Waliowatulivu ni wale wenye matatizo ya kiafya na kiroho ,lakini rijali kabisa can't settle with one!we were made for that!