Nimeamini wanaume hawaaminiki

Sifa ya moyo Tamaa Mkuu, Moyo sifa yake kutamani
 
Ninayo ndio lakini sio kama ya kwenu, unaenda kabisa kumtongoza mwanamke mwingine

Kaba mliyopewa niyakumeza mate unapomtamani mwingine bila kumtongoza sababu tayari unaye wa kwako!!!!!!!
Ujue hata wewe unayo tamaa
 
Ninayo ndio lakini sio kama ya kwenu, unaenda kabisa kumtongoza mwanamke mwingine

Kaba mliyopewa niyakumeza mate unapomtamani mwingine bila kumtongoza sababu tayari unaye wa kwako!!!!!!!
Key word hapo ni tamaa eph, matokeo ya tamaa ni kitu kingine, kuhusu kutongoza muhukumu yeye maana sisi wengine hata kutongoza hatuwezi
 
Key word hapo ni tamaa eph, matokeo ya tamaa ni kitu kingine, kuhusu kutongoza muhukumu yeye maana sisi wengine hata kutongoza hatuwezi
Yes! Nimeelewa kua sio wanaume wote

Lkn hapana mwanzo niliamini sio wote ila Baba Cathe kanivunja moyo😎
 
Sample size ilikuwa ngapi, dr wengine hatujui tutakula nini tunapata wapi tamaa wakati njaa kali
Primary ilikua moja tu, sikuhesabu secondary ila ni nyinginyingi kiasi kwamba inabidi tukubali matokeo.

Ehhhh...kumbe dawa yenu ni njaa tu ehhh???😁

Asante kwakunipa mbinu. From now on hashibi mtu kwa Dr!!πŸ˜†
 
Primary ilikua moja tu, sikuhesabu secondary ila ni nyinginyingi kiasi kwamba inabidi tukubali matokeo.

Ehhhh...kumbe dawa yenu ni njaa tu ehhh???[emoji16]

Asante kwakunipa mbinu. From now on hashibi mtu kwa Dr!![emoji38]
Tukiwa na njaa hatuwazi kabisa hayo majambo, lakini wengine hata kutongoza hawajui that's make a study kuwa na fake conclusion
 
Wanawake bhana,siku nyingine ukimwona na mwanamke mwingine tofauti ndo utamkubali,sasa hivi hapo unamheshimu tu kwa vile hujawahi kumwona na hizo tabia,baada ya mda utamvulia tu pichu
 
Tukiwa na njaa hatuwazi kabisa hayo majambo, lakini wengine hata kutongoza hawajui that's make a study kuwa na fake conclusion
Nimeshachukua notes!😁

Sasa Cole...fake conclusion inatokea wapi na wahusika wamesupport findings za research ya mtoa mada bila kulazimishwa?

Inawezekana wewe ni exceptional ndio maana huelewi tumefikafikaje kwenye conclusion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…