Nimeamini wanaume hawaaminiki

Unapitisha uovu! Una mahusiano yako kwanini usitulie?
Kuchepuka ni mambo ya zamani ambapo dunia ilikua haijachafuka
Sasa hivi magonjwa kila kona we huogopi!?
Unaogopa maradhi ila ukipanda bodaboda kuvaa helmet hutaki ephen_ unasema itavuruga nywele zako
 
Nature ina sababu ya kuumba ivyo mwanaume. Unadhani tusingekuwa na tamaa tusingewataka sana ,yaani Ile tamaa iwe mbali ina Mana hata uzazi ungekuwa chini mno.
Inaonekana hujakuwa bado u mdogo na hutoolewa. Suala la kutakiwa ujue ni kuwa tumeumbiwa kut00mba na kutafuta mafanikio. Wala huwa hatupendi Bali ni kwasababu ya kut00mba , Sasa usiwe na ilo tundu uone Kama Kuna upendo huo.

We're had created to seek success and sex that's man need on this planet even though women need everything on this planet.
 
Muhimu sasa hivi ni tit for tat
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…