Wanawake wanataka kututawalaAves to Mammalia how came?!!!!!
πππ
π€π€π€ Daaah unashindana na NDIOKaeni dawa iwaingie
Hi vita hamtoshindaHapo sawa tutaenda sambamba
Niambie wanaume waliokuwa na wewe ni wangapi Hadi Sasa ndio tuelewaneHapo sawa tutaenda sambamba
Wanazani jinsia ni cheoWanawake wanataka kututawala
Mpendwa tukishindana hamtoshindaMsipotulia tutashinda hii vita sababu Samsoni alipoteza points kwa delila
Jose kapoteza points kwa Penina
Na nani...ππKuna mtu nakufananisha nae
Huwezi kujibu kwakuwa na wewe unaishi kama asili inavyotaka uishi,Sasa huwezi kujakumshambilia mwanaume mwenzetu kisa tuu anakutaka na kutuponda kwamba hatuaminiki wewe ungetulia kwako yote ayo yasingekukuta na pia uyo Mzee hataki mazoea na mkewe ndio maana anakutongoza Ili askuone Tena kwake we Bado hukomi....wee dada tulia kwako na mmeoJikite kwenye lengo la uzi
Kala BAN kizembe π π πI mean no malice to nobody
Hawajui kwamba kiumbe Mme kina sifa yakutaka nakutawalaWanazani jinsia ni cheo
Mimi ni mmoja wa wanawake wanaotongozwa na wanaume wa marafiki/majirani/ndugu zaoHuwezi kujibu kwakuwa na wewe unaishi kama asili inavyotaka uishi,Sasa huwezi kujakumshambilia mwanaume mwenzetu kisa tuu anakutaka na kutuponda kwamba hatuaminiki wewe ungetulia kwako yote ayo yasingekukuta na pia uyo Mzee hataki mazoea na mkewe ndio maana anakutongoza Ili askuone Tena kwake we Bado hukomi....wee dada tulia kwako na mmeo
Bado ajajua anataka mashindano...Hawajui kwamba kiumbe Mme kina sifa yakutaka nakutawala
Sasa usitongozwe ?Mimi ni mmoja wa wanawake wanaotongozwa na wanaume wa marafiki/majirani/ndugu zao
Kisa nimesema huwa naenda kwao basi ushapata sababu ila ukweli ni kwamba nyie mna tamaa za ajabu na usikute kuna wengine hawaendi kwao na bado wanatongozwa na wanaume wa hovyo