Nimeamini wanaume hawaaminiki

Basi msitukate mapanga kama Jose kaeni muenjoy show
Wadhaifu kama kina Jose wanamalizana na nyie hapo hapo. Wenye koromeo na uwezo mkubwa kuyahimili wanawapiga za uso kimyakimya ila kwa uhakika. Huwezi kishindana na mwanaume wako ukafanikiwa, labda ukutane na zoba la mapenzi.
 
Wadhaifu kama kina Jose wanamalizana na nyie hapo hapo. Wenye koromeo na uwezo mkubwa kuyahimili wanawapiga za uso kimyakimya ila kwa uhakika. Huwezi kishindana na mwanaume wako ukafanikiwa, labda ukutane na zoba la mapenzi.
Endekezeni michepuko mfirisike halafu mrudi kwa wake zenu mkiwa mnechakaa
 
Imani yangu ilikua kwa baadhi ya wanaume waliooa ambao nimekua nikiwaona ni wastaarabu na waaminifu kwa wake zao akiwepo baba Cathe kwa kilichotokea kumbe na yeye ni walewale
Wanaume wote hawaaminikiiiiiiiii
Siyo kweli labda ukiwa nao unajiachia mapaja Ina maana ulikuwa unamvunjia barafu
 
Kwahiyo tukubaliane kua binadamu bila kujali jinsia wote hawaridhiki na mtu mmoja,Kasoro wanaume wao wanajiendekeza!
Mwanamke hana maumbile ya kuhudumia wanaume wawili kwa pamoja, nyie mnatakiwa mridhike na mwanaume mmoja, aliyepasua njia awe mume wako hadi mwisho.
 
Wanaume tuko poa sana... umekutana na species ya hovyo
 
Mwanamke hana maumbile ya kuhudumia wanaume wawili kwa pamoja, nyie mnatakiwa mridhike na mwanaume mmoja, aliyepasua njia awe mume wako hadi mwisho.
Na nyie hamna maumbile ya kuhudumia wanawake wawili ndio maana mmepewa fimbo 1
 
Endekezeni michepuko mfirisike halafu mrudi kwa wake zenu mkiwa mnechakaa
Kula nje ni kwa nidhamu mama, nidhamu ya hali ya juu sana. Mwanamke mmoja atakupa pressure na utakufa mapema.
 
Kula nje ni kwa nidhamu mama, nidhamu ya hali ya juu sana. Mwanamke mmoja atakupa pressure na utakufa mapema.
Sio kweli! Mbona mimi mchumba angu hajawahi kuniambia nampa pressure
 
Tuna cheat Sana tuu SEMA viwango vya ku cheat vinapishana wengine wanatumia Sana akili ku cheat wengine Wana cheat mpk too much..

All in all msondo ngoma waliimba Chini ya TX MOSHI WILLIAM wanaume tumeumbwa mateso..mateso kuangaika

Swali la kizushi
Ephen ivi hata Lucas humuamini EEEE😊😊😊
 
Sio kweli! Mbona mimi mchumba angu hajawahi kuniambia nampa pressure
Umeshasema mchumba, ukiingia huko utampa pressure na it's a fact atakula kidogo nje, awe na nidhamu, ale na kunawa mikono na mdomo ili usijue🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…