Nimeamini wanaume hawaaminiki

We sema umemtega mzee wa watu yaishe.
 
Kila siku unakuja kwa mke wangu .. kufanya nini !? Unakuja na vinguo vya ajabu ajabu

na nimekugunduwa kwa muda mrefu sana unatamani mapenzi yetu na mke wangu.

Unatamani uchukuwe nafasi ya mke wangu kwa mapenzi ninayomuonesha.. ?

Una upweke mwingi sana ndio maana muda mwingi unajifungia ndani, haukitani na wanaume wengine huko nje hadi uje kwangu kunitega!?

Kwa kifupi umenitega kwa muda mrefu sana na siku ile uchochoroni ni shetani tu alinipitia , siwezi kumsaliti mke wangu maana nina mpenda sana

Ndugu wananchi tuwe makini na hawa wanawake.. walianza kutumia na shetani tangu karne hizo.. tukianzia kwa adam na wengine

Maanguko mengi ya no wanaume huanzia kwa wanawake wanaojihusisha nao!

Tuwe makini

Wanawake ni manipulator wazuri sana! Na mabingwa wa ku flip the script
 
Asnte kwa comment hii kaka.
 
Mnajiendekeza!

Hapana, i can i assure you ni kitu natural...kinakuja tu bila hata ku-control...

Lakini ajabu ni kuwa, mwanaume hawezi kuacha mpenda mke labda mke awe na kiburi, dharau na vitu kama hivyo...
 
Sio kuzingua, lazima tukuulize maswali. Hii mada umejaribu kutuchafua wanaume, hivyo lazima tuweke mizani sawa.
Hujawahi kucheat? Hadi unalalamika?
Yule anayekuitaga neighbour ni nani yako au kisa sijawahi kukuuliza? Mfwiiiiiii😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…