Nimeamini wanaume hawaaminiki

Mwanaume asiyecheat ana pepo yake kwakweli ,shemeji anatongoza bila aibu wala kupepesa macho
Jidanganye, hujiulizi kwanini viumbe vyote jinsi Me huwa vinachakata vipapatio tofauti tofauti na ni kawaida tu, kwanini isiwe kwa Me Binadamu au alijiumbia hizo tamaa za kutaka Ke zingine?
 
Kiruuuuu....Bwana harusi yupi kwanza mbona ghafla sana
🀣🀣🀣🀣 buana wee usijifanye hujui hapa!!
Yule niliyewaandalia had jina la mtoto umemsahau??
 
Halafu usikute bwana harusi mwenyewe ni huyu uliyemquote 🀣🀣🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣 mfyuuu!! Kumbe ushamjua sasa kwann utake nimwage mchele kwenye kuku wengi?!!
 
Ulinipa kimeo bff kweli hunipendi
Angalia yeye na mtoa post hii wanaitanaje halafu urudi hapa 🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣 bff tumehujumiwa!!!
Ila shemeji mkavu sijapata kuona jamani!!!
Yani km sio yeye aliyekuwa anakubebisha na kutoa ahadi kemkem! 🀣🀣🀣
Mimi na shobo zangu mpk jina nimeandaa halafu leo mkavuuuu!!! πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kwahiyo ulitaka hadi nipigwe ndyo ujue huyu mtu ni taken πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
🀣🀣🀣 ngoja tumfanyie fitna penzi life haiwezekani tuachike kiboya boya bff
Yani wote tumeachika kuanzia dada mkubwa mpk wadogo zake khaaaaa.!!! Sisy Joannah hebu njoo useme kitu. Au yule mganga wa unguja muongo katuibia pesa zetu??! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe Lamomy mbaya sana aisee. Wewe na kamati yako ndio mlipenyeza habari kwake kwamba nimeoa. Na yeye akaamini, akanitosea baharini πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…