Jidanganye, hujiulizi kwanini viumbe vyote jinsi Me huwa vinachakata vipapatio tofauti tofauti na ni kawaida tu, kwanini isiwe kwa Me Binadamu au alijiumbia hizo tamaa za kutaka Ke zingine?Mwanaume asiyecheat ana pepo yake kwakweli ,shemeji anatongoza bila aibu wala kupepesa macho
Sio kwamba anakufokea, heading ya Uzi wako ndio imeleta yote hayo π π πMbona unanifokea!
Ungeona hali halisi usingesema hivi
Ila sitoenda tena
Upunguze kujifungia ndani,binti unaiva hadi unataka kuvuruga ndoa ya watu .Wote walewaleπ
Tulia shem πUchoyo wa madesa huo. π π
Pole sana, wishing you fast recovery. Ila usiwe unaenda kila mara kwenye majumba ya watu.Vyote personality na hili.
π€£π€£π€£π€£ buana wee usijifanye hujui hapa!!Kiruuuuu....Bwana harusi yupi kwanza mbona ghafla sana
Good girl πMbona unanifokea!
Ungeona hali halisi usingesema hivi
Ila sitoenda tena
Halafu usikute bwana harusi mwenyewe ni huyu uliyemquote π€£π€£π€£π€£π€£Tulia shem π
Ulinipa kimeo bff kweli hunipendiπ€£π€£π€£π€£ buana wee usijifanye hujui hapa!!
Yule niliyewaandalia had jina la mtoto umemsahau??
π€£π€£π€£π€£ mfyuuu!! Kumbe ushamjua sasa kwann utake nimwage mchele kwenye kuku wengi?!!Halafu usikute bwana harusi mwenyewe ni huyu uliyemquote π€£π€£π€£π€£π€£
Kwahiyo ulitaka hadi nipigwe ndyo ujue huyu mtu ni taken ππππ€£π€£π€£π€£ mfyuuu!! Kumbe ushamjua sasa kwann utake nimwage mchele kwenye kuku wengi?!!
π€£π€£π€£π€£ bff tumehujumiwa!!!Ulinipa kimeo bff kweli hunipendi
Angalia yeye na mtoa post hii wanaitanaje halafu urudi hapa π€£π€£π€£
5+Nishamwambia mimi wawili tu
π€£π€£π€£ ngoja tumfanyie fitna penzi life haiwezekani tuachike kiboya boya bffKwahiyo ulitaka hadi nipigwe ndyo ujue huyu mtu ni taken πππ
Wewe Lamomy mbaya sana aisee. Wewe na kamati yako ndio mlipenyeza habari kwake kwamba nimeoa. Na yeye akaamini, akanitosea baharini ππ€£π€£π€£π€£ bff tumehujumiwa!!!
Ila shemeji mkavu sijapata kuona jamani!!!
Yani km sio yeye aliyekuwa anakubebisha na kutoa ahadi kemekem! π€£π€£π€£
Mimi na shobo zangu mpk jina nimeandaa halafu leo mkavuuuu!!! πππ
ephen dhambi ya kuliwa kimasihara na mimi Mume wa Mtu umeishinda ila dhambi ya uwongo umeikubali, hujui kwa Mungu dhambi zote ni sawa? Ebu omba toba haraka Ndugu [emoji28]na umemdanganya mzee wa watu kuwa huna simu. katubu hiyo dhambi ya uongo, la svyo toa namba