Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣🤣 Jirani em niwache kwanza, leo uko aliko hana raha kabisaa!!Utamuonaje wakati yupo kigoma mwisho wa umbea 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 Jirani em niwache kwanza, leo uko aliko hana raha kabisaa!!Utamuonaje wakati yupo kigoma mwisho wa umbea 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Ushaanza kulopola Ebu Punguza gongo bhnTukuitie we domo la mumuitia huna? 🤣🤣🤣
Hivi kirikou unatuona wote watoto wenzio hapa!!
Eid Mubarack bff wangu....watu wa simba lolote liwakute 😛😂😂😂 Simba kokote lazima ijadiliwe sababu team mbovu ile, ss hivi wana hasira na viongozi wao
Umeanza kujielewa sasa, kama ulikuwa unatokea Zoo sasa hivi uko Moro yani 80% wife materialsKama ana qualities ninazozipenda YES..!
Mwezi umeuonaEid Mubarack bff wangu....watu wa simba lolote liwakute 😛
Bff kwani huko kwenu mwezi ushaonekana?? Sie tunawasubiri bakwata 😜Eid Mubarack bff wangu....watu wa simba lolote liwakute 😛
Ntakuzabua kirikou mi wa kunywa machozi ya simba?? Hivo vinywaji vya swahiba wako maba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ushaanza kulopola Ebu Punguza gongo bhn
😂😂😂😂😂😂😂Umu ndani **** vijana wakiingia mbavu zangu huacha mianya tuBff kwani huko kwenu mwezi ushaonekana?? Sie tunawasubiri bakwata 😜
Ni kawaida sana kwa sisi wanaume All in All..Habari!
Nimekutana na mkasa ambao umenifanya niamini wanaume sio watu wa kuwaamini 100%
Mimi ni mtu ambae muda mwingi najifungia ndani, lakini ikitokea nimekua mpweke sana huwa napendelea kwenda kwa jirani mwenye nyumba inayofuata baada ya kwetu.
Tumeshakua ni washkaji japo yeye ni mtu mzima kiasi, ana mume na watoto watano. Ila mimi na yeye tunaongea lugha moja. Mshkaji wangu namwita Mama Cathe. Anapendana sana na mume wake familia yao ni bora yenye upendo, kuwaona wamekumbatiana na mume wake ni jambo la kawaida sana.
Nipo karibu nae nimejua baadhi ya mambo, mume wake huwa anarudi kila siku mchana kula, mama Cathe huwa anamsubiri mchana ili wale wote saa 9.
Kwa jinsi wanavyopendana usiku wanaweka msosi nje wanakula mume, mke na watoto kulishana ni jambo la kawaida. Siku zote ninavyowachora mume anampenda sana mkewe, nilikua naona hawezi hata kumsaliti, hata michepuko haijui. Nilikua naamini kuna wanaume ni waaminifu na huyu Baba Cathe nilimuweka kundi hilo kwa jinsi wanavyoishi.
Juzi asubuhi mama kanituma nikanunue mahitaji, natembea zangu kwenye uchochoro mpana nikasikia mtu ameniita 'Ephen!' nikageuka nyuma. Nakutana na Baba Cathe akaniambia 'Nilikuona wakati unatoka nikasema nikufate sababu kila siku navizia nafasi ya kuongea na wewe lakini siipati, kwani unaenda wapi?'
Mpaka hapo nikawa nimeshangaa sikutegemea hii kauli kutoka kwake, hapo anaongea kimahaba
Huyu mzee nilikua namuheshimu sana....Nikamwambia naelekea dukani.
Akasema 'basi naomba namba yako siku yoyote naweza kukupigia tukutane sehemu X, huwa unanivutia sana nahitaji tuongee zaidi' nikamjibu sina simu
Alarm ikalia kichwani kwangu kua ule uchochoro yeyote anaweza kutokea ikawa kesi, sikumjibu nikageuka nikaendelea na safari yangu. Mimi nipo mbele yeye nyuma hapo natembea chap niumalize uchochoro akawa anaongea maneno ambayo siwezi kuyaandika hapa.
Nikamaliza uchochoro na yeye nahisi huku nyuma aligeuza, muda wote nikawa najiuliza huyu mzee kapatwa na nini?
Kilichonishtua ni jana nimekaa kibarazani na mkewe mida ya mchana, karudi mke wake akasimama kumkumbatia, huyu mzee akanikonyeza. Namuona anakuja kwa kasi!
Wanaume wote kumbe wanacheat.....!
Uyu Babu umekutana nae wapDar nafika kesho
Ulikuwa unatqfuta?Nishampata lakini
Asijeakajifanya kitu kibaya udugu wako😂🤣🤣🤣🤣 Jirani em niwache kwanza, leo uko aliko hana raha kabisaa!!
Shem kama ShemAsijeakajifanya kitu kibaya udugu wako😂
Adui wa Ke ni Ke mwenziye ila Me huwa hatuna uadui wa kudumu kamwe!Wanaume wote mnamtetea Baba Cathe...!
MwogaNaomba yasinikute.
KwakwelNaomba yasinikute.
Uko moro ukaamua uende kujificha😂😂