Nimeamini wanaume hawaaminiki

Nimeamini wanaume hawaaminiki

Hapo ndo tatzo, hata mi ningekuwa tempted.

Everytime i see a loose girl i fall in again. It's hard to be a man.
 
Kungwi kama kungwi mbona hunifundi nimchune kakaako 😂😂😂
Wana wa Israel walikuficha nn
Na huo ndio ukweli, mwanaume hawezi kukufata ghafla akakwambia maneno km hayo na anajua ww ni rafiki wa mkewe. Kuna viashiria aliviona ndio vikamsukuma kumuingilia
 
Kungwi kama kungwi mbona hunifundi nimchune kakaako 😂😂😂
Wana wa Israel walikuficha nn
Wifi wana wa Israel wanifiche wananiweza??
Ww nishakwambia bro yupo na maokoto mengi njoo nikupe mbinu tumpune unazingua..!! Kuna wenzio kibao wanampigia mingle shauri yako 😂😂😂
 
Wifi wana wa Israel wanifiche wananiweza??
Ww nishakwambia bro yupo na maokoto mengi njoo nikupe mbinu tumpune unazingua..!! Kuna wenzio kibao wanampigia mingle shauri yako 😂😂😂
Nikajua wamekuteka wifiyangu
My Wii huu mwaka wa kufosi Yani Hadi kieleweke Lete mbinu za kivita hizo maokoto yamwagike 😀😀

Hao wanaopogia mingle hawajipendi nakaba Hadi kivuli😂😂😂
 
Nikajua wamekuteka wifiyangu
My Wii huu mwaka wa kufosi Yani Hadi kieleweke Lete mbinu za kivita hizo maokoto yamwagike 😀😀

Hao wanaopogia mingle hawajipendi nakaba Hadi kivuli😂😂😂
Ww tatizo huna malaika wa kupenda pesa, tunaongea vzr baadae unapotea..!!
Kwa taarifa yako bro katua yupo bongo, fanya uwahi kesho uletewe Abaya 🤣🤣😂
Nitafute nikupe address ya hotel aliyofikia
 
Ww tatizo huna malaika wa kupenda pesa, tunaongea vzr baadae unapotea..!!
Kwa taarifa yako bro katua yupo bongo, fanya uwahi kesho uletewe Abaya 🤣🤣😂
Nitafute nikupe address ya hotel aliyofikia
Usiniambie my Wii hayo ndo mambo Sasa 😀😀
 
Back
Top Bottom