kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Hauna ushahidiWangapi anawatongoza huko wanamkubalia
Anacheat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauna ushahidiWangapi anawatongoza huko wanamkubalia
Anacheat
Sawa hata kwangu huna ushahidi.Unatetea uovu
Na wewe ni walewale
Na huo ndio ukweli, mwanaume hawezi kukufata ghafla akakwambia maneno km hayo na anajua ww ni rafiki wa mkewe. Kuna viashiria aliviona ndio vikamsukuma kumuingilia
😂😂😂Mlinipa famba jamani nitafutieni mwingine 🤣
Wifi wana wa Israel wanifiche wananiweza??Kungwi kama kungwi mbona hunifundi nimchune kakaako 😂😂😂
Wana wa Israel walikuficha nn
Nikajua wamekuteka wifiyanguWifi wana wa Israel wanifiche wananiweza??
Ww nishakwambia bro yupo na maokoto mengi njoo nikupe mbinu tumpune unazingua..!! Kuna wenzio kibao wanampigia mingle shauri yako 😂😂😂
Ww tatizo huna malaika wa kupenda pesa, tunaongea vzr baadae unapotea..!!Nikajua wamekuteka wifiyangu
My Wii huu mwaka wa kufosi Yani Hadi kieleweke Lete mbinu za kivita hizo maokoto yamwagike 😀😀
Hao wanaopogia mingle hawajipendi nakaba Hadi kivuli😂😂😂
Usiniambie my Wii hayo ndo mambo Sasa 😀😀Ww tatizo huna malaika wa kupenda pesa, tunaongea vzr baadae unapotea..!!
Kwa taarifa yako bro katua yupo bongo, fanya uwahi kesho uletewe Abaya 🤣🤣😂
Nitafute nikupe address ya hotel aliyofikia
Duuuh usisahau kubeba ndizi na pilipili kwenye pochi 😁Hiki kikao kifanyike mapema
Nataka niwahi pilau mahali
We endelea kupiga teke fuko la pesa 😂😂😂Usiniambie my Wii hayo ndo mambo Sasa 😀😀
Wewe ni mbishiKamdanganye mtoto mng'aa
Bora ushuhudie ili wengine waacheUzinzi mbaya sana asikuambie mtu,mimi nimeacha aisee
Napishana na gari ya mshahara😂We endelea kupiga teke fuko la pesa 😂😂😂
Huna nyota ya pesa kabisaa nakuona 😂😂😂Napishana na gari ya mshahara😂